Tamthilia ya Kombolela Season 2 ni kali sana

Tamthilia ya Kombolela Season 2 ni kali sana

Wakuu…

Mimi sio mpenzi sana wa haya matamthilia ya nyumbani. Ila hii Kombolela ni moto mwingine.

Nimejikuta naifatilia na kuipa muda. Mtunzi apewe maua yake. Wahusika wameua sana hasa Kobisi Kikala na dada zake akina Siwa na Mwadawa!!

Inasadifu maisha halisi ya uswahilini…
Madawa angepewa miguu sijui ingekuwaje aisee
 
Ndio tamthiliya pekee ninayoitazama Kimwili na kiakili. Hakika Abdul aliketi chini kuandika tamthiliya hii.
Hata season ya kwanza ni tamu mno. Sikuwa mtazamaji mpaka niliposhawishiwa na rafiki yangu.
Pia ungebahatika kutazama Zahanati ya Kijiji ndo ungeona jinsi Abdul alivyo mtamu...
Usisahau Saloon ya Mama Kimbo
 
Ndio tamthiliya pekee ninayoitazama Kimwili na kiakili. Hakika Abdul aliketi chini kuandika tamthiliya hii.
Hata season ya kwanza ni tamu mno. Sikuwa mtazamaji mpaka niliposhawishiwa na rafiki yangu.
Pia ungebahatika kutazama Zahanati ya Kijiji ndo ungeona jinsi Abdul alivyo mtamu...
Usisahau Saloon ya Mama Kimbo

Mimi natamani siku ni anze kuangalia season one na two upya mwanzo mwisho
 
Siwa na Mwadawa ndo kiboko ya uswahilini, Kobisi sasa dah mzee Kikala kazi anayo

Ukweli usemwe, hakuna tamthilia Mwadawa( Bi star) yupo usipende uwigizaji wake humo ndani, anajua kuvaa uwalisia sana, kwa waigizaji wanao chipukia wangejifunza kwake
yani anakipaji kikubwa sana
sijui Kwa nini mwadawa awampi tuzo ya mwigizaji bora wa kike/mwigizaji mkongwe anaefanya vizuri tokea kitambo hadi leo.
 
Ukweli usemwe, hakuna tamthilia Mwadawa( Bi star) yupo usipende uwigizaji wake humo ndani, anajua kuvaa uwalisia sana, kwa waigizaji wanao chipukia wangejifunza kwake
yani anakipaji kikubwa sana
sijui Kwa nini mwadawa awampi tuzo ya mwigizaji bora wa kike/mwigizaji mkongwe anaefanya vizuri tokea kitambo hadi leo.
Hahahaha,miguu hana ila mdomo😀😀
 
Kuna tamthilia yumo JB na Shamsa Ford, JB ana mke analafudhi ya kenya, kijana wa JB anatoka na binti fulani ambae mamaake hamtaki naitafuta inaitwaje kwa anaejua?
 
Ukweli usemwe, hakuna tamthilia Mwadawa( Bi star) yupo usipende uwigizaji wake humo ndani, anajua kuvaa uwalisia sana, kwa waigizaji wanao chipukia wangejifunza kwake
yani anakipaji kikubwa sana
sijui Kwa nini mwadawa awampi tuzo ya mwigizaji bora wa kike/mwigizaji mkongwe anaefanya vizuri tokea kitambo hadi leo.
Mama Kibakuli
 
Mchezo wa Kombolela umeisha kwenye majiji bora wamekumbuka kuwa movie..

Hata mie utoto haujawahi kuniiaha😂😂😂😂😂
 
Mchezo wa Kombolela umeisha kwenye majiji bora wamekumbuka kuwa movie..

Hata mie utoto haujawahi kuniiaha😂😂😂😂😂ni mchezo maarufu sana
 
Mchezo wa Kombolela umeisha kwenye majiji bora wamekumbuka kuwa movie..

Hata mie utoto haujawahi kuniiaha😂😂😂😂😂ni mchezo maarufu sana ukiuwelea🎥🎥🎥🎥🎥🎥🎥🎥🎥🎥 Unanoga
 
Mchezo wa Kombolela umeisha kwenye majiji bora wamekumbuka kuwa movie..

Hata mie utoto haujawahi kuniiaha😂😂😂😂😂ni mchezo maarufu sana ukiuwelea🎥🎥🎥🎥🎥🎥🎥🎥🎥🎥 Unanoga ukiongeza na Studio
 
Wakuu…

Mimi sio mpenzi sana wa haya matamthilia ya nyumbani. Ila hii Kombolela ni moto mwingine.

Nimejikuta naifatilia na kuipa muda. Mtunzi apewe maua yake. Wahusika wameua sana hasa Kobisi Kikala na dada zake akina Siwa na Mwadawa!!

Inasadifu maisha halisi ya uswahilini…
Hiyo haina mambo ya kunyanduana kama Jua Kali? Maana hiyo tamthilia richa ya kupendwa na grl friend wangu, mimi naona kama mtunzi wake anazidi kuchochea mmomonyoko wa maadili.

Baba anamnyandua mke wa mwanae, kaka anamnyandua mdogo wake, Rafiki anamnyandua mke wa Rafiki yake, workmates ni mnyanduano kwa kwenda mbele, mke anamcheat mmewake, mwanamama wa heshima ananyanduliwa na kakijana kadogo rika sawa na mjukuu wake.

Jua Kali nothing to show than mnyanduano!
 
My News


Children were executed by M23 in Congo's Bukavu, UN says​

By Reuters
February 18, 20252:01 PM GMT+3Updated 10 hours ago



GENEVA, Feb 18 (Reuters) - Three children were executed by the Rwanda-backed M23 after they donned weapons and uniforms abandoned by the Congolese army in the eastern city of Bukavu, the U.N. human rights office said on Tuesday, voicing alarm at the incident and other violations since the rebels arrived there.
"Our Office has confirmed cases of summary execution of children by M23 after they entered the city of Bukavu last week," U.N. Human Rights office spokesperson Ravina Shamdasani told a press briefing in Geneva.

She also voiced concern for journalists, human rights defenders and members of civil society organisations who are seeking protection from reprisals by M23.
 
Back
Top Bottom