Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 25,725 Reaction score 78,589 Feb 25, 2024 #1 Hii Tamthiliyaa imekaa kimchongooo, uongo wa waziwazi !!. Sema Kuna huyu HILLARY A.K.A GOOD BOY... na Huyu SYLVIA , MTOTO WA MJINI. Good boy Leo kaambiwa Mimba imetokaaa baby π π .
Hii Tamthiliyaa imekaa kimchongooo, uongo wa waziwazi !!. Sema Kuna huyu HILLARY A.K.A GOOD BOY... na Huyu SYLVIA , MTOTO WA MJINI. Good boy Leo kaambiwa Mimba imetokaaa baby π π .
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Feb 26, 2024 #2 Sifahamu hy tamthilia wala sijaelewa ulichozungumzia ila nimesikitika sana
bolivia JF-Expert Member Joined Mar 3, 2021 Posts 3,083 Reaction score 5,179 Feb 26, 2024 #3 Mkuu kuna stori zako unaletaga jukwaani ni very sensitive achana na hizi mambo ya kina NISHER
Chizi Maarifa JF-Expert Member Joined Jul 29, 2013 Posts 10,931 Reaction score 24,816 Feb 26, 2024 #4 Carlos The Jackal said: Hii Tamthiliyaa imekaa kimchongooo, uongo wa waziwazi !!. Sema Kuna huyu HILLARY A.K.A GOOD BOY... na Huyu SYLVIA , MTOTO WA MJINI. Good boy Leo kaambiwa Mimba imetokaaa baby π π . Click to expand... Hatari sana wadada wa kazi nanyi mmejifunza kuhusu JF mbona tutapata shida humu. Mtaanzisha sana nzuri zenu za kusimuliana hizo tamthiliya zenu za kiduanzi.
Carlos The Jackal said: Hii Tamthiliyaa imekaa kimchongooo, uongo wa waziwazi !!. Sema Kuna huyu HILLARY A.K.A GOOD BOY... na Huyu SYLVIA , MTOTO WA MJINI. Good boy Leo kaambiwa Mimba imetokaaa baby π π . Click to expand... Hatari sana wadada wa kazi nanyi mmejifunza kuhusu JF mbona tutapata shida humu. Mtaanzisha sana nzuri zenu za kusimuliana hizo tamthiliya zenu za kiduanzi.