Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Msisahau kutusumulia na tamthiliya ya OUR STORY mzee fikri na mama yake majanga Saba
 
Msisahau kutusumulia na tamthiliya ya OUR STORY mzee fikri na mama yake majanga Saba

Fikrey kapata demu daktar wanazurura demu kabakisha miezi mitatu ya kuish kamtosa Seyma
Seyma na mujide wanahama wanauza nyumba
Jemil kamkomalia feliz
Omary kakamatwa yupo jela
 
Yaani hospital leo imeingiliwa
Mama na mtoto leo kikiri kikiri tupu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Ya leo jion itakuwa inachekesha sana mwenyekiti kafyatua risasi moja wametawanyika hao nimecheka sana
Kabaki Masalu tu๐Ÿ˜‚,Zungu anamwambia tujikatae tu hapa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Dah, Masalu asife tu Jamani, ntaumia๐Ÿ˜‚
 
Kabaki Masalu tu๐Ÿ˜‚,Zungu anamwambia tujikatae tu hapa๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Dah, Masalu asife tu Jamani, ntaumia๐Ÿ˜‚
Kimbembe na mama yake walivyotawanyika vile ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Halaf mtendaj naona kaua watu
 
Amenichekesha Bi Star
Anasema umesikia Mbwana
Shemeji yako anaenda kukuchukulia dawa.


Amefika eti mimi namsubiri Dokta๐Ÿ˜‚
Afadhali umefika Baba, nitibie huyu Kiumbe
Mbwana nenda katibiwe na shemeji yako๐Ÿคฃ
 
Kimbembe na mama yake walivyotawanyika vile ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Halaf mtendaj naona kaua watu
Bi star na ubabe wake wote leo anasanda ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Bi star na ubabe wake wote leo anasanda ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Nimecheka mim kimbembe anamuita mama yake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ walikuwa wamekaa pamoja sijui ilikuwaje wakatawanyika ghafla vile ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Amenichekesha Bi Star
Anasema umesikia Mbwana
Shemeji yako anaenda kukuchukulia dawa.


Amefika eti mimi namsubiri Dokta๐Ÿ˜‚
Afadhali umefika Baba, nitibie huyu Kiumbe
Mbwana nenda katibiwe na shemeji yako๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Halaf biubwa naona anataka msimulia story kuwa omben sio mzima
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Halaf biubwa naona anataka msimulia story kuwa omben sio mzima
Lilivyokuwa limbea lazima litamwambia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ila Ombeni ana mtihani jamani
Atakapomkataa binti yake ataanza kuchukiwa na huyo mama๐Ÿคฃ

Nikawa nawaza kwanini Ombeni na Tausi hawakudate jamani
Maana walienda wote kureport kazini.
 
Nimecheka mim kimbembe anamuita mama yake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ walikuwa wamekaa pamoja sijui ilikuwaje wakatawanyika ghafla vile ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Anamwambia njoo huku dawa ninazo Mimi
Huku kameinama๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Bongo movie bado ipo chini sana hata script zao ni zero, wabongo napenda sana kuwaweka ligi moja na wahindi editing ni bajeti ya Dada poa wawili[emoji3]

Wakorea,wachina na wafilipino kwenye story wapo vizuri ila teknolojia inawaangusha
 
Lilivyokuwa limbea lazima litamwambia๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ila Ombeni ana mtihani jamani
Atakapomkataa binti yake ataanza kuchukiwa na huyo mama๐Ÿคฃ

Nikawa nawaza kwanini Ombeni na Tausi hawakudate jamani
Maana walienda wote kureport kazini.
Atachukiwa sana na zengwe juu
 
Wengi tulijua lazima Tausi na Ombeni watakuwa wapenzii lakini Abdul alituacha apo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ