Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Msisahau kutusumulia na tamthiliya ya OUR STORY mzee fikri na mama yake majanga Saba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msisahau kutusumulia na tamthiliya ya OUR STORY mzee fikri na mama yake majanga Saba
Yaani hospital leo imeingiliwa
Mama na mtoto leo kikiri kikiri tupu[emoji1787][emoji1787]
Kabaki Masalu tu😂,Zungu anamwambia tujikatae tu hapa🤣🤣🤣Ya leo jion itakuwa inachekesha sana mwenyekiti kafyatua risasi moja wametawanyika hao nimecheka sana
Kimbembe na mama yake walivyotawanyika vile 😂😂😂😂😂 Halaf mtendaj naona kaua watuKabaki Masalu tu😂,Zungu anamwambia tujikatae tu hapa🤣🤣🤣
Dah, Masalu asife tu Jamani, ntaumia😂
Bi star na ubabe wake wote leo anasanda 🤣🤣🤣🤣Kimbembe na mama yake walivyotawanyika vile 😂😂😂😂😂 Halaf mtendaj naona kaua watu
Nimecheka mim kimbembe anamuita mama yake 😂😂😂 walikuwa wamekaa pamoja sijui ilikuwaje wakatawanyika ghafla vile 😂😂😂Bi star na ubabe wake wote leo anasanda 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Halaf biubwa naona anataka msimulia story kuwa omben sio mzimaAmenichekesha Bi Star
Anasema umesikia Mbwana
Shemeji yako anaenda kukuchukulia dawa.
Amefika eti mimi namsubiri Dokta😂
Afadhali umefika Baba, nitibie huyu Kiumbe
Mbwana nenda katibiwe na shemeji yako🤣
Lilivyokuwa limbea lazima litamwambia😂😂😂😂😂😂 Halaf biubwa naona anataka msimulia story kuwa omben sio mzima
Anamwambia njoo huku dawa ninazo MimiNimecheka mim kimbembe anamuita mama yake 😂😂😂 walikuwa wamekaa pamoja sijui ilikuwaje wakatawanyika ghafla vile 😂😂😂
Bongo movie bado ipo chini sana hata script zao ni zero, wabongo napenda sana kuwaweka ligi moja na wahindi editing ni bajeti ya Dada poa wawili[emoji3]Wakuu habarii,
Kiukweli nianze kwa kukiri kuwa Mimi binafsi sio Mpenzi wa Tamthilia/Filamu za hapa nyumbani Almaarufu kwa Jina la Bongo Movie lakini Siku Moja Majira ya saa 1 usiku nilipokosa cha kufanya nikiwa Sebuleni nilikutana na Tamthilia tajwa hapo juu ikiwa inaonyweshwa kupitia Channel ya Sinema Zetu inayopatikana katika King'amuzi cha Azam.
Kiukweli baada kuiangalia nilivutiwa mno na Tamthilia hiyo huku nikivutiwa zaidi na Wahusika wake, Ubora wa Sauti na Picha sambamba na Mazingira waliyoigizia kwakweli hongera Director kwa kazi nzuri.
Mwisho nahitimisha kwa kusema kuna haja sasa kwa Waongozaji wa Tamthilia na Filamu hapa Nchini kuhakikisha wanaandaa Kazi katika viwango vya juu pamoja na kutunga Story zenye kuakisi Maisha ya Watanzania walio wengi ili ziweze kupata Netflix nk.
Nawasilisha
KUKUMSELA.
Atachukiwa sana na zengwe juuLilivyokuwa limbea lazima litamwambia😂😂😂
Ila Ombeni ana mtihani jamani
Atakapomkataa binti yake ataanza kuchukiwa na huyo mama🤣
Nikawa nawaza kwanini Ombeni na Tausi hawakudate jamani
Maana walienda wote kureport kazini.
😂😂 mayasa anafundishwa kusoma huku kababu kameshika kiboko 😂😂Anamwambia njoo huku dawa ninazo Mimi
Huku kameinama🤣🤣🤣🤣
Na hivi anaumwaAtachukiwa sana na zengwe juu
Milanzi ni mwehu 🤣😂😂 mayasa anafundishwa kusoma huku kababu kameshika kiboko 😂😂
Wengi tulijua lazima Tausi na Ombeni watakuwa wapenzii lakini Abdul alituacha apo.Lilivyokuwa limbea lazima litamwambia[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Ombeni ana mtihani jamani
Atakapomkataa binti yake ataanza kuchukiwa na huyo mama[emoji1787]
Nikawa nawaza kwanini Ombeni na Tausi hawakudate jamani
Maana walienda wote kureport kazini.