Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23]mtendaji alikamatwa oa polisi na dokta, gati alikimbia wakamdaka nae
mama mwazani alimkana dokta et "wee mpo wote na nani? we chizi nn?"
alikuja mtu kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya akawapa barua kuwa wapeleke vyet vyao kumbe bi ubwa ana vyeti feki ndo akawa analia
masalu alipigiwa cm kuwa ampeleke diku azam ndo akakopa kwa zagalo
nae msichoke si akamfata mbiki ndan zahanati ikawa vurugu tu
Sikuangaliavp kuhusu jeraha jana? ilikuwaje
Mwanzo mwisho sijawahi kuipenda aiseeKosa 1 niliachaa kitamboo, japo mwanzo niliipendaa, ila ilikuja kunikataa stimu kabisaa aaah
Tausi kapata nafasi ya kwenda Swizland km model,mbwana kafeli mtihani wa kidato Cha nne,mama mwazani analia na familia yake coz hakuwa mama bora kwa wanae,bi ubwa vyeti feki vimemgharimu kafukuzwa kazi,mtendaji ,Dr na Gati wamekamatwa,Diku katoboa kapata nafasi ya kwenda kucheza Azam spots Club so kaenda na kaka yake masalu,zungu kabaki peke yke mwembe togwa na ndoto yake ya kuvua samaki mkubwa, mbiki anaumwa baada ya kumuona mama chabala na chabala,mauja kaenda kumuaga ombeni anapelekwa nje ya nchi kwa matibabu
Basi haifai kuangaliwa na familia mm nionaga juu juu tuu sijaipenda hayo maudhuiAlihudumiwa akapata nafuu,Muda huohuo mkewe akaenda kutapika,
Wakampima ujauzito wakakuta anao.
Watafurahi.
Newton aliwatoroka , Chelsea na Robina,akaenda kulala kwa Lucy,,asbh akarudi.
Lucy alitembelewa na baba yake,akagongana na Erick,akataka ampasue na bastola😂,akamfukuza.
Huyu dogo ni hatari kwa mishangazi.
Kuangalia na familia haifai aiseeBasi haifai kuangaliwa na familia mm nionaga juu juu tuu sijaipenda hayo maudhui
Mwanzoni ilikua vizuri,Mwanzo mwisho sijawahi kuipenda aisee
Yaan hata haijaeleweka, kuna matukio yalitakiwa tuone mwisho wakee.Hyo tamthilia kama vile imefosiwa iishe hivi..
Mi naisikia tu!Kwahiyo nawe kuna manesi wanaishi na kufanya vile kwenye zahanati ipi nchi hii. Wameongeza sana Mbwembwe na kuua uhalisia wake bro.
Wewe kama mieSiangaliagi aisee wabongo na mm maji na mafuta
Wabongo wanazingua😂Wewe kama mie
Kidogo juakali, nayo sio Kila siku 😅
Hadi wagosi wa kaya waliimba mkuuSifuatilii hizi mambo lakini hapo kwenye zahanati zisizo na wafanyakazi wapuuzi unaishi Tanzania ipi mkuu?
Kisa nini mkuu,,tuambie ili tujilekebishe,,,sisi wasanii tanawategemea nyinyi hadhira ili kuboresha kazi zetuKosa 1 niliachaa kitamboo, japo mwanzo niliipendaa, ila ilikuja kunikataa stimu kabisaa aaah
Wanazingua nini mkuu,,,Hebu jaribu kusapoti cha kwenu,,,kuwa mzalendoWabongo wanazingua[emoji23]
Mkuu Mara nyingi sisi kazi zetu zimebase kwenye maudhui ya kitanzania( content) Na huwa tunajaribu kuonyesha maisha halisi na tamaduni zetu,,,ambamo ndani yake kunakuwa na migogoro eidha ya mirath,,Mahusiano,,pesa nk,,,soo jitahidi hata siku moja moja kutupa Masikio na macho yako uone tunachokifanya,,,huenda ukatuelewa.....Siangaliagi aisee wabongo na mm maji na mafuta
Walipobadilisha wimbo wa utambulisho, nkaacha kufatilia.Kisa nini mkuu,,tuambie ili tujilekebishe,,,sisi wasanii tanawategemea nyinyi hadhira ili kuboresha kazi zetu
Ooh! Hapo nimekuelewa mkuu,,,pia me mwenyewe nilishangaa sana,,,kwanini walibadilisha ile jingleWalipobadilisha wimbo wa utambulisho, nkaacha kufatilia.
Ule Wimbo niliupendaa mnooo.Ooh! Hapo nimekuelewa mkuu,,,pia me mwenyewe nilishangaa sana,,,kwanini walibadilisha ile jingle