Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23]mtendaji alikamatwa oa polisi na dokta, gati alikimbia wakamdaka nae
mama mwazani alimkana dokta et "wee mpo wote na nani? we chizi nn?"
alikuja mtu kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya akawapa barua kuwa wapeleke vyet vyao kumbe bi ubwa ana vyeti feki ndo akawa analia
masalu alipigiwa cm kuwa ampeleke diku azam ndo akakopa kwa zagalo
nae msichoke si akamfata mbiki ndan zahanati ikawa vurugu tu
Kesho ntaangalia marudio