kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Chama cha wauguzi walikua wakiipiga vita sanaHyo tamthilia kama vile imefosiwa iishe hivi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama cha wauguzi walikua wakiipiga vita sanaHyo tamthilia kama vile imefosiwa iishe hivi..
Kisa nini mkuu,,tuambie ili tujilekebishe,,,sisi wasanii tanawategemea nyinyi hadhira ili kuboresha kazi zetu
Download Azamtv Max, ingiza namba ya Kadi ya king'amuziAisee nitaipata wapi hii tamthilia?? Kama kuna mwenye nayo atume.
mbona hukasiriki ARNORD alivyokuwa anaigiza staring kila muviMimi Ray anachoniudhi kwenye movie zake nyingi anapenda kuigiza maisha ya kifahari sana
SIO DIRECTOR NI PRODUCER NA MWANDISHIhuyo director Ni Wa moto Sana kwanzia kombolela
SIO KWELI JUA KALI HAIFUI DAFU KWA ZAHANATI YA KIJIJIM pia nilikua siijui bt kuptia my mom ambaye yy anaifatilia na ni nesi mstaafu nilijkuta naiangalia mda nlo kua likzo ya kaz home kwa maza! Lamata ndo director pia anayo juakali ipo dstv ni moto sana kuliko hata zahanat ya kijij
sio yake nNadhani Jackson kabirigi na Kampuni yake ya Nabra creative company anajua kwakweli.
Ndiyo kabirigi ni msanii lakini Abdul ni direct
SIO KWELI ABDUL SIO DIRECTOR .DIRECTOR NI SALUM MAJAG .ABDUL NI MWANDISHI NA PRODUCERNdiyo kabirigi ni msanii lakini Abdul ni director
or
[emoji23][emoji23][emoji23]mbona hukasiriki ARNORD alivyokuwa anaigiza staring kila muvi
Sijui kwanini hizi mpya zote hazinivutii.Hii tamthilia ya RIPOTI naona kama imetulia...
Mkuu si nanunua?? Kwani kununua kitu ni kosa?? Naitaka na hawajatoa utaratibu mzr wa namna ya kuipata so ndio mana nikauliza humu kama kuna yoyote anayo aniuzie.Ni mali ya Azam utafungwa
Shukran mkuu, namba ya card ninayo bt shughuli kule ni mb ndugu yangu bora wangekuwa wameweka ata option ya kupakua, naitaka niweke kwenye flash yangu ile ni nzr ata kuangalia na watu wa rika zote.Download Azamtv Max, ingiza namba ya Kadi ya king'amuzi
Kama hauna namba ya Kadi ya king'amuzi basi fungua account uwe unalipia kifurushi cha wiki cha bei ya chini kabisa
Utaikuta kuanzia episode 1 hadi ilipofikia
Ananifurahisha sana yule muhuni wa venny.Hii tamthilia ya RIPOTI naona kama imetulia...
Hii tamthilia ya RIPOTI naona kama imetulia...
Amezidi aisee...hakuna mwanamke wa hivyo yani mwanzo mwisho ni kuzozana tuu..halafu sio mtanzania au?Ile nayo imezidi kuonekana imeongeza chumvi. Yule Amandina ana kazi ya kumpokea na kumgombeza mme wake tu. Sidhani kama kuna mwanaume duniani anakubali ule upuuzi.
MkenyaAmezidi aisee...hakuna mwanamke wa hivyo yani mwanzo mwisho ni kuzozana tuu..halafu sio mtanzania au?