ANKO JEI
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,302
- 2,462
- Thread starter
- #21
Nk kweli kabisa yani muda mwingine unatamani kungekua na copy and paste ya binadamu upate copy yako ataekua na nia kama uliyonayo wewe,ila nadhani ushakua milionea sindio
Changa'moto niliokutana nayo katika biashara zangu ni 'human resource' kupata mtu mwaminifu self driven and determined katika kazi zangu, limenichelewasha kua millionaire....watznia wengi wakiwemo na ndugu sio waminifu hawapendi kazi boss wao anachukuliwa kama adui wao