ANKO JEI
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,302
- 2,462
- Thread starter
- #41
Hakika na Mungu akusaidie,mana ukiweza kuvumilia na kutokata tamaa kama ww bhasi lazima utasimama siku mojaYes details ndogondogo mara nyingi tunazidharau lakini ndozenye maana kwenye biashara mkuu,haikuwa rahisi maana nilikata mpk mtaji wenyewe lakini nilisimama tena now namshukuru Mungu