Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Nzuri japo hainihusu inshallah karibu huku NgalaMpendwa kwema? Heri ya pasaka.
Usinisahau Id
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nzuri japo hainihusu inshallah karibu huku NgalaMpendwa kwema? Heri ya pasaka.
Usinisahau Id
Manina zenu BK, sambusa za senene?View attachment 1264333
View attachment 1285645
Inaboa uzi mrefu kuunganishwa. Mods acheni wivu. Sijui niwatukane aah tatizo mnaringia kitisho cha Ban
I miss my thread "Njoo tucheke pamoja"
Ngala tena?!! Jana ni kama ulipita Shekilango?Nzuri japo hainihusu inshallah karibu huku Ngala
😂😂😂Nimeamini ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu mpendwa ndio nipo Ngala nimekuja na usafiri wetu wa ki Africa usiku🤪Ngala tena?!! Jana ni kama ulipita Shekilango?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeamini ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu mpendwa ndio nipo Ngala nimekuja na usafiri wetu wa ki Africa usiku[emoji2957]
Ila Ankoo why umeniumbua jukwaani 😬😬😬😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wasalimie sana huko, itakuwa macho yangu makengeza
Ankoo sio wewe niliye kuona, nimechanganya madesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unavyo rudi nipitie K9Ila Ankoo why umeniumbua jukwaani [emoji51][emoji51][emoji51][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaani huwa unapita kwenye comments kimyakimya hata ulaiki 😬😬🙆🏾🙆🏾Ankoo sio wewe niliye kuona, nimechanganya madesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unavyo rudi nipitie K9
fb nao wamecharukaView attachment 2190994
Mambo ya kulaiki kwenye mazingira kama yale huwa yanamnyima uhuru wa kujiachia mlaikiwa.Yaaani huwa unapita kwenye comments kimyakimya hata ulaiki [emoji51][emoji51][emoji1495][emoji1495]
Natamani nikudai thikukuu yangu... Au basiNaona dada ana mafua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shemeji zangu haoWasukuma bhana[emoji23]
Natamani nikudai thikukuu yangu... Au basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shemeji zangu hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Happy easter ankoo
Pilau halijabaki nije?hata ukoko nakula[emoji16]