Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Jifunze kuishi kwa amani..yan ata utani huna?Toa hadi kisamvu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kuishi kwa amani..yan ata utani huna?Toa hadi kisamvu
Huyu dada hataki mtu amuingilie kwenye thread yakeH
Aaah haaaaa a. Haaa haloooo makavu laivu
Wasukuma shida ni nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Temana naeJifunze kuishi kwa amani..yan ata utani huna?
Namuona bebi wako...
basi si ungeliweka japo maharage ndani yakeInaboa uzi mrefu kuunganishwa. Mods acheni wivu. Sijui niwatukane aah tatizo mnaringia kitisho cha Ban
I miss my thread "Njoo tucheke pamoja"
Haaaaa haaaaa 😀😀😀basi si ungeliweka japo maharage ndani yake
kwani Numbisa ni mfanya biashara ya kuuza maharage?Hata harage lake
kwani Numbisa ni mfanya biashara ya kuuza maharage?
kama ni harage hilo ulilolikusudia wewe basi umeamua kumtovukia adabu mtoto wa mwenzio bila ya sababu ya msingi....
haipendezi kwa mwanadamu aliye muungwana aongozwe zaidi na khulka ya matusi na dharau kwa wenzake, hakuna ufisadi mbaya duniani kama ule wa kukosa utu na heshima mbele ya wenzako.
kama munataniana basi sawa endeleza matani dhidi yake na yeye arudishe matani, kinyume chake itakuwa umefanya makosa makubwa yatakayokupasa umuombe radhi
Kwanini kila mtu ni adui yako? Kwani wewe una matatizo gani?Daah watu wa aina hio huwezi kuwaelewesha kistaarabu hivi wakakuelewa,huyu shost kaibuka tu na kufufua ugomvi wa miezi iliyopita,cha kushangaza ana kuweka na wewe ambae hata huna maana mbaya na comment yako(anadhani kila mtu ni adui yangu humu JF)
Hawa attention seeker mie huwa nawajibu wanavyotaka,sijali kuhusu ban wala nini. Wanapata dozi yao tamu tu
Asha ngedere kila mtaa ana maaduiKwanini kila mtu ni adui yako? Kwani wewe una matatizo gani?
Vitu vingine ni wewe unavitaka tu mwenyewe
[emoji1787][emoji1787]Daah watu wa aina hio huwezi kuwaelewesha kistaarabu hivi wakakuelewa,huyu shost kaibuka tu na kufufua ugomvi wa miezi iliyopita,cha kushangaza ana kuweka na wewe ambae hata huna maana mbaya na comment yako(anadhani kila mtu ni adui yangu humu JF)
Hawa attention seeker mie huwa nawajibu wanavyotaka,sijali kuhusu ban wala nini. Wanapata dozi yao tamu tu
SwagKukutafuta kote kumbe upo huku?!!!
Mimi mzima wa afyaView attachment 1264342
Shangazi kaja kawa gauni?[emoji1787][emoji1787]
Keshapewa BanKwanini kila mtu ni adui yako? Kwani wewe una matatizo gani?
Vitu vingine ni wewe unavitaka tu mwenyewe
kachafua hali ya hewa mahaliKeshapewa Ban
Ni kawaida yake, ana mdomo sanakachafua hali ya hewa mahali