KERO TANAPA mna shida gani? Wageni kukaa siku nzima getini kisa mfumo wa malipo haufanyi kazi si sawa

KERO TANAPA mna shida gani? Wageni kukaa siku nzima getini kisa mfumo wa malipo haufanyi kazi si sawa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wafanye pia kaguzi za permit tunapotoka magetini, kuna wafanyakazi wao washaanza kutengeneza mfereji wao wa kula hela za Extra day
Cha ajabu sasa ambacho mimi binafsi nimewahi kukishuhudia ni kuwa,wakati tunaambiwa kuwa mfumo wa malipo uko chini hivyo tusubiri urekebishwe kuna madalali wapo pale ambao unaweza kuunganishwa nao na wao wakakulipia kwa kadi zao kwa namna wanayojua wao, mimi waliniambia niwape 260,000 cash ili wanilipie 210,000,sasa nikajiuliza huo mfumo unagoma kwetu tu? Kutokana na haraka niliyokuwa nayo ilinibidi nimpe,kuna shida mahali.
 
Cha ajabu sasa ambacho mimi binafsi nimewahi kukishuhudia ni kuwa,wakati tunaambiwa kuwa mfumo wa malipo uko chini hivyo tusubiri urekebishwe kuna madalali wapo pale ambao unaweza kuunganishwa nao na wao wakakulipia kwa kadi zao kwa namna wanayojua wao, mimi waliniambia niwape 260,000 cash ili wanilipie 210,000,sasa nikajiuliza huo mfumo unagoma kwetu tu? Kutokana na haraka niliyokuwa nayo ilinibidi nimpe,kuna shida mahali.
Kula kwa urefu wa kamba...
 
Cha ajabu sasa ambacho mimi binafsi nimewahi kukishuhudia ni kuwa,wakati tunaambiwa kuwa mfumo wa malipo uko chini hivyo tusubiri urekebishwe kuna madalali wapo pale ambao unaweza kuunganishwa nao na wao wakakulipia kwa kadi zao kwa namna wanayojua wao, mimi waliniambia niwape 260,000 cash ili wanilipie 210,000,sasa nikajiuliza huo mfumo unagoma kwetu tu? Kutokana na haraka niliyokuwa nayo ilinibidi nimpe,kuna shida mahali.
Hii sio sawa. Hii ilikua geti lipi, na mwaka gani mkuu
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Kipenzi na mtukufu wa daraja kwenye uislamu ni mtume Muhammad s.a.w pekee..
 
TANAPA mnashindwa kuwa service conscious, mnashindwa kuwa time conscious na mnashindwa kufanya maamuzi sahihi linapotokea tatizo, wageni wamekaa siku nzima getini eti kisa mifumo wa malipo haufanyi kazi?

Mgeni kalipa flight, kalipa visa, kalipa accomodations, kalipa gari, kalipa park fees na zote hizi ni kodi zinaenda Serikalini.

Je, linapotokea suala la mfumo wa malipo getini kukwama, mnashindwa nini kukusanya permit zote, kuwapa wageni notice ya kuweza kuendelea na safari yao, then Tanapa ije kuchek in or out permit zote baada ya mtandao kurudi kwenye hali yake?

Je, pamoja na jitihada zote za Rais kufanya Royal Tour Kuna watu wamepanga kumkwamisha SSH?

Je, Tanapa Kuna watu wanajua wao ni service oriented entity inayotakiwa ku - enhance clients experience?

Je, mifumo kukwama ni kosa la mgeni hadi umuweke 10 hours asubiri wakati ameshalipa cash? TANAPA Kkuna tatizo la umwinyi, uzembe na hii inapelekea hofu ya upigaji kupitia mifumo.

Mama please litazame hili.

Nilikuona mda mrefu umeinamia simu pale nikajui lazima tuisome pahala
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Nani anap
Mbinu chafu za ushindani wa kibiashara. Kwamba, watalii wazichukie hifadhi za Tanzania kutokana na kukosekana kwa customer care ya kuridhisha.
ata
Cha ajabu sasa ambacho mimi binafsi nimewahi kukishuhudia ni kuwa,wakati tunaambiwa kuwa mfumo wa malipo uko chini hivyo tusubiri urekebishwe kuna madalali wapo pale ambao unaweza kuunganishwa nao na wao wakakulipia kwa kadi zao kwa namna wanayojua wao, mimi waliniambia niwape 260,000 cash ili wanilipie 210,000,sasa nikajiuliza huo mfumo unagoma kwetu tu? Kutokana na haraka niliyokuwa nayo ilinibidi nimpe,kuna shida mahali.
hao wanafanya hivyo ni wahuni, mfumo ukienda sown hakuna namna nyingine. uli report kokote?
 
Changamoto za internet zinaeleweka Dunia nzima.
Swali linakuja ni kwanini wasiwe na plan B?
Binafsi lishanitokea... Nilipoteza muda mwingi na kushindwa kuwahi flight!
yes plan b lazima iwe standby kama standby generator kwa katiko la umeme
 
TANAPA mnashindwa kuwa service conscious, mnashindwa kuwa time conscious na mnashindwa kufanya maamuzi sahihi linapotokea tatizo, wageni wamekaa siku nzima getini eti kisa mifumo wa malipo haufanyi kazi?

Mgeni kalipa flight, kalipa visa, kalipa accomodations, kalipa gari, kalipa park fees na zote hizi ni kodi zinaenda Serikalini.

Je, linapotokea suala la mfumo wa malipo getini kukwama, mnashindwa nini kukusanya permit zote, kuwapa wageni notice ya kuweza kuendelea na safari yao, then Tanapa ije kuchek in or out permit zote baada ya mtandao kurudi kwenye hali yake?

Je, pamoja na jitihada zote za Rais kufanya Royal Tour Kuna watu wamepanga kumkwamisha SSH?

Je, Tanapa Kuna watu wanajua wao ni service oriented entity inayotakiwa ku - enhance clients experience?

Je, mifumo kukwama ni kosa la mgeni hadi umuweke 10 hours asubiri wakati ameshalipa cash? TANAPA Kkuna tatizo la umwinyi, uzembe na hii inapelekea hofu ya upigaji kupitia mifumo.

Mama please litazame hili.

Aise hii aibu ya mwaka hawa jamaa washughulikiwe haraka sana
 
Lakini maafande wale hawanaga plan B... Wao ni amri amri tu!
In short wageni wengi wakija hawarudi!!

Inaelekea hakuna SOP kwa kazi yao wala hawajishughulishi kutengeneza
"Instant remedial action"
 
nchi yenyewe inapokea watalii wachache kwa sababu ya usenge bado tena hao wachache muwakose kabisa
kweli muafrika yake jembe kushinda shamba
 
Isije ikawa ni mbinu ya kuwapunguza watalii wanaoingia Tanzania.

Kama tetesi kuwa kipindi fulani bwawa la Mtera lilikuwa likihujumiwa ili kusababisha mgao wa umeme, hilo nalo halishindikani kufanyika.
Au kuwapa upenyo wavuna ndovu
 
Back
Top Bottom