Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Cha ajabu sasa ambacho mimi binafsi nimewahi kukishuhudia ni kuwa,wakati tunaambiwa kuwa mfumo wa malipo uko chini hivyo tusubiri urekebishwe kuna madalali wapo pale ambao unaweza kuunganishwa nao na wao wakakulipia kwa kadi zao kwa namna wanayojua wao, mimi waliniambia niwape 260,000 cash ili wanilipie 210,000,sasa nikajiuliza huo mfumo unagoma kwetu tu? Kutokana na haraka niliyokuwa nayo ilinibidi nimpe,kuna shida mahali.Wafanye pia kaguzi za permit tunapotoka magetini, kuna wafanyakazi wao washaanza kutengeneza mfereji wao wa kula hela za Extra day
Kula kwa urefu wa kamba...Cha ajabu sasa ambacho mimi binafsi nimewahi kukishuhudia ni kuwa,wakati tunaambiwa kuwa mfumo wa malipo uko chini hivyo tusubiri urekebishwe kuna madalali wapo pale ambao unaweza kuunganishwa nao na wao wakakulipia kwa kadi zao kwa namna wanayojua wao, mimi waliniambia niwape 260,000 cash ili wanilipie 210,000,sasa nikajiuliza huo mfumo unagoma kwetu tu? Kutokana na haraka niliyokuwa nayo ilinibidi nimpe,kuna shida mahali.
Ilitokeaje mkuuWafanye pia kaguzi za permit tunapotoka magetini, kuna wafanyakazi wao washaanza kutengeneza mfereji wao wa kula hela za Extra day
Hii sio sawa. Hii ilikua geti lipi, na mwaka gani mkuuCha ajabu sasa ambacho mimi binafsi nimewahi kukishuhudia ni kuwa,wakati tunaambiwa kuwa mfumo wa malipo uko chini hivyo tusubiri urekebishwe kuna madalali wapo pale ambao unaweza kuunganishwa nao na wao wakakulipia kwa kadi zao kwa namna wanayojua wao, mimi waliniambia niwape 260,000 cash ili wanilipie 210,000,sasa nikajiuliza huo mfumo unagoma kwetu tu? Kutokana na haraka niliyokuwa nayo ilinibidi nimpe,kuna shida mahali.
Kipenzi na mtukufu wa daraja kwenye uislamu ni mtume Muhammad s.a.w pekee..Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
Nilikuona mda mrefu umeinamia simu pale nikajui lazima tuisome pahalaTANAPA mnashindwa kuwa service conscious, mnashindwa kuwa time conscious na mnashindwa kufanya maamuzi sahihi linapotokea tatizo, wageni wamekaa siku nzima getini eti kisa mifumo wa malipo haufanyi kazi?
Mgeni kalipa flight, kalipa visa, kalipa accomodations, kalipa gari, kalipa park fees na zote hizi ni kodi zinaenda Serikalini.
Je, linapotokea suala la mfumo wa malipo getini kukwama, mnashindwa nini kukusanya permit zote, kuwapa wageni notice ya kuweza kuendelea na safari yao, then Tanapa ije kuchek in or out permit zote baada ya mtandao kurudi kwenye hali yake?
Je, pamoja na jitihada zote za Rais kufanya Royal Tour Kuna watu wamepanga kumkwamisha SSH?
Je, Tanapa Kuna watu wanajua wao ni service oriented entity inayotakiwa ku - enhance clients experience?
Je, mifumo kukwama ni kosa la mgeni hadi umuweke 10 hours asubiri wakati ameshalipa cash? TANAPA Kkuna tatizo la umwinyi, uzembe na hii inapelekea hofu ya upigaji kupitia mifumo.
Mama please litazame hili.
Mbona kama vile unamtisha?Nilikuona mda mrefu umeinamia simu pale nikajui lazima tuisome pahala
Nani anapKipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.
Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
ataMbinu chafu za ushindani wa kibiashara. Kwamba, watalii wazichukie hifadhi za Tanzania kutokana na kukosekana kwa customer care ya kuridhisha.
hao wanafanya hivyo ni wahuni, mfumo ukienda sown hakuna namna nyingine. uli report kokote?Cha ajabu sasa ambacho mimi binafsi nimewahi kukishuhudia ni kuwa,wakati tunaambiwa kuwa mfumo wa malipo uko chini hivyo tusubiri urekebishwe kuna madalali wapo pale ambao unaweza kuunganishwa nao na wao wakakulipia kwa kadi zao kwa namna wanayojua wao, mimi waliniambia niwape 260,000 cash ili wanilipie 210,000,sasa nikajiuliza huo mfumo unagoma kwetu tu? Kutokana na haraka niliyokuwa nayo ilinibidi nimpe,kuna shida mahali.
Changamoto za internet zinaeleweka Dunia nzima.
mimi nikipaita ukimani nachukiwa mkuu 🤣Mbongo anachojuwa ni kukatika uno anacheza komasava
Ova
yes plan b lazima iwe standby kama standby generator kwa katiko la umemeChangamoto za internet zinaeleweka Dunia nzima.
Swali linakuja ni kwanini wasiwe na plan B?
Binafsi lishanitokea... Nilipoteza muda mwingi na kushindwa kuwahi flight!
Lakini maafande wale hawanaga plan B... Wao ni amri amri tu!yes plan b lazima iwe standby kama standby generator kwa katiko la umeme
Aibu sana!mimi nikipaita ukimani nachukiwa mkuu 🤣
ona sasa mambo gani hayo? mtalii alipe pesa yake imtese
Aise hii aibu ya mwaka hawa jamaa washughulikiwe haraka sanaTANAPA mnashindwa kuwa service conscious, mnashindwa kuwa time conscious na mnashindwa kufanya maamuzi sahihi linapotokea tatizo, wageni wamekaa siku nzima getini eti kisa mifumo wa malipo haufanyi kazi?
Mgeni kalipa flight, kalipa visa, kalipa accomodations, kalipa gari, kalipa park fees na zote hizi ni kodi zinaenda Serikalini.
Je, linapotokea suala la mfumo wa malipo getini kukwama, mnashindwa nini kukusanya permit zote, kuwapa wageni notice ya kuweza kuendelea na safari yao, then Tanapa ije kuchek in or out permit zote baada ya mtandao kurudi kwenye hali yake?
Je, pamoja na jitihada zote za Rais kufanya Royal Tour Kuna watu wamepanga kumkwamisha SSH?
Je, Tanapa Kuna watu wanajua wao ni service oriented entity inayotakiwa ku - enhance clients experience?
Je, mifumo kukwama ni kosa la mgeni hadi umuweke 10 hours asubiri wakati ameshalipa cash? TANAPA Kkuna tatizo la umwinyi, uzembe na hii inapelekea hofu ya upigaji kupitia mifumo.
Mama please litazame hili.
Lakini maafande wale hawanaga plan B... Wao ni amri amri tu!
In short wageni wengi wakija hawarudi!!
Au kuwapa upenyo wavuna ndovuIsije ikawa ni mbinu ya kuwapunguza watalii wanaoingia Tanzania.
Kama tetesi kuwa kipindi fulani bwawa la Mtera lilikuwa likihujumiwa ili kusababisha mgao wa umeme, hilo nalo halishindikani kufanyika.