'TANAPA': Yule Mnyama aliyefanya maangamizi makubwa Mwadui, sasa anaelekea Stand ya Shinyanga

'TANAPA': Yule Mnyama aliyefanya maangamizi makubwa Mwadui, sasa anaelekea Stand ya Shinyanga

Mkuu acha uongo, wakati mwingine uwe unakubali tu pale mnapokuwa mnazidiwa. Labda takwimu zangu zinadanganya ila ninachofahamu mimi ni kuwa:

Team GF GA GD
Simba 24 3 21
Yanga 27 5 22

Hizo takwimu sahihi Mpaka sasa Simba Imefunga Goli 24 NA Timu ya wananchi Yanga imefunga goli 27.

Yanga 3 - 0 Mbao FC
Yanga 4 - 0 JKT Ruvu
Yanga 6 - 2 Kagera Sugar
Yanga 2 - 0 Toto Africans
Yanga 3 - 1 Mtibwa Sugar
Yanga 2 - 0 Mwadui
Yanga 3 - 0 Maji Maji
Yanga 1 - 1 Simba
Yanga 3 - 0 African Lyon

sembo na Mdau yoyote wa Simba, tuwekeeni hizo takwimu zinazoonyesha mmetuzidi magoli.

CC: nasmapesa , Guasa Amboni, Bantu lady na wengineo

View attachment 427778
mbumbumbu kakimbia
 
Karibu kwa wahuni wakamia game. . Utakula kamoko tu.. afu wahuni fitina zinaanza. . Kama namuona golie wa stand vile anadunda dunda mpiraa. ..haha..
Kama nawaona Ball boys wanavochelewesha mipiraaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hebu tujaribu kukadiria ni uharibifu wa kiasi gani, huyu Mnyama mkali kabisa mwituni pengine kuliko wote.. anaoenda kuufanya katika Stand ya Shinyanga??

Katika Mechi 5 zilizopita.
Sisi..

Tumeshinda: Mechi Zote [5]
Sare: Mechi 0
Tumefungwa: Mechi 0
Wao..
Wameshinda: Mechi 1 tuu.
Sare: Mechi 3
Wamegongwa: Mechi 1
Kama tumeweza kushinda mechi 5 mfululizo.. Itawezekanaje tushindwe kuwafunga hawa 'wachovu' ambao wameshinda mechi moja tu kati ya 5?!

Katika Mechi hizo hizo 5 zilizopita.
Sisi..

Idadi ya Magoli tuliyofunga: 11
Idadi ya Magoli tuliyofungwa: Hakuna
Wao..
Idadi ya Magoli waliyofunga: 6
Idadi ya Magoli waliyofungwa: 6
Kama kila mechi, Sisi tunafunga goli zaidi ya mbili na Wao kila mechi wanafungwa goli zaidi ya moja.. Unategemea nini hasa kitatokea baada ya fowadi yenye njaa.. Itakapokutana na beki mbovu?!

Matokeo ya Mechi iliyopita katika uwanja wa Kambarage.
Sisi..
Simba S.C
3-0 Stand United
Wao..
Stand United
1-1 African Lyon
Japo tutakua ugenini.. matokeo yetu ya ugenini yanaonesha tunagawa dozi nzito nzito kuliko tukiwa nyumbani.. Sasa hawa wapiga debe sijui watatokaje hapo?![/B

Vita ya Ufungaji Bora katika timu.
Sisi..

Kichuya - Goli 8
Mavugo - Goli 4
Muzamiru - Goli 4
Ajibu - Goli 3
Mo Ibrahim - Goli
Wao..
Magoli yamefungwa na wachezaji wawili tu.
Mnyama huyu.. ukimdhibiti mmoja, mwingine anakuliza.. Sasa hawa wapiga debe sijui watamdhibiti nani wamuache nani?!

Ombi Langu Kwa 'Tanapa':
Baada ya Mnyama huyu kufanya maangamizi makubwa katika mgodi wa dhahabu uliopo Mwadui.. Sasa yupo njiani anaelekea kufanya uharibifu mkubwa zaidi [usioelezeka] katika Stand ya mkoani Shinyanga.
'Tanapa' kumzuia huyu Mnyama hamuwezi, labda mtakachofanya ni kupunguza tu uharibifu.
Ahhhaahaa..Mkuu Hii nimependa..
 
Mkuu acha uongo, wakati mwingine uwe unakubali tu pale mnapokuwa mnazidiwa. Labda takwimu zangu zinadanganya ila ninachofahamu mimi ni kuwa:

Team GF GA GD
Simba 24 3 21
Yanga 27 5 22

Hizo takwimu sahihi Mpaka sasa Simba Imefunga Goli 24 NA Timu ya wananchi Yanga imefunga goli 27.

Yanga 3 - 0 Mbao FC
Yanga 4 - 0 JKT Ruvu
Yanga 6 - 2 Kagera Sugar
Yanga 2 - 0 Toto Africans
Yanga 3 - 1 Mtibwa Sugar
Yanga 2 - 0 Mwadui
Yanga 3 - 0 Maji Maji
Yanga 1 - 1 Simba
Yanga 3 - 0 African Lyon

sembo na Mdau yoyote wa Simba, tuwekeeni hizo takwimu zinazoonyesha mmetuzidi magoli.

CC: nasmapesa , Guasa Amboni, Bantu lady na wengineo

View attachment 427778
Huyo mtani wetu kwa mihemuko hatumuwezi tayari anakwambia simba kama real Madrid tatizo pale akianza kupigwa huwa anapata udhuru wa ajabu mpaka watu wanadhani kafikwa na umauti hatuna wasiwasi nao hii marathon watakata pumzi tu.
 
Hizo Takwimu zenu ipo siku mtakuja kuzikana humu ndani. kwasasa huyo Kichuya amekuwa mviziaji tu. Ndani ya kumi bora Wafungaji wanaongoza mpaka sasa Simba yupo Mmoja tu huyo Kichuya . Huku timu ya Wananchi ikiwa na wachezaji watatu ndani ya kumi bora ambao ni Tambwe, Ngoma na Msuva huku Obrey chirwa akija kwa kasi.

Hitimisho ni kwamba Timu yenye Striking Force yenye Njaa ya Mabao siku zote ndio watakuwa Mabingwa. Na dalili nzuri zimeshajionyesha kwa Yanga.
Kichuya anafunga mabao classic sana Kesho Stend anapigwa 4-0
 
Hizo Takwimu zenu ipo siku mtakuja kuzikana humu ndani. kwasasa huyo Kichuya amekuwa mviziaji tu. Ndani ya kumi bora Wafungaji wanaongoza mpaka sasa Simba yupo Mmoja tu huyo Kichuya . Huku timu ya Wananchi ikiwa na wachezaji watatu ndani ya kumi bora ambao ni Tambwe, Ngoma na Msuva huku Obrey chirwa akija kwa kasi.

Hitimisho ni kwamba Timu yenye Striking Force yenye Njaa ya Mabao siku zote ndio watakuwa Mabingwa. Na dalili nzuri zimeshajionyesha kwa Yanga.


Wewe ni Wazi Kuwa ni Katika ¼ .....
Manake Sidhani Kama Mtu Mwenye Akili Timamu Anaweza Fikiria Kuwa Chaneta FC atachukua Ubingwa Mbele Ya Mnyama huyu hatari...
 
Kesho Ni Siku Ngumu Sana Kwa Yeboyebo....
Nadhani Wakisikia Tu Mond Wao Kaliwa 3 Na Mnyama Watajuta Kugeuzwa Salome na Stand...
 
Habari hii Imeletwa na Mwandishi Wetu.
Kumekuwa na hali ya mashaka makubwa na hofu Mjini Shinyanga kutokana na Habari zilizozogaa kuwa yule Simba aliyekuwa huko Mwadui Mgodini na kula Madini yaliyokuwa yamechwa na wachimbaj waliokuwa wamekimbia Migodi sasa ameonekana Shinyanga Mjini.

Mwandishi amejaribu kupita Mjini kote na kushuhudia mji ukiwa umeachwa mkiwa wananchi wote wamekimbia na kuacha mali zao. Mwandishi alilazimika kwenda mpaka stand kuu kuangalia kulikon na huko alikuta kumeachwa ukiwa. Hakukuwa na wapiga debe,abiria wala mabasi.

Mwananchi mmoja ambaye alielezea hali hiyo akiwa mkoani mwanza ameomba ndugu waziri wa mambo ya ndani aingilie suala hili ili kumdhibit Mnyama huyu anayeonekana ana njaa ya miaka mingi sana. Inasemekana amekuwa akila kitu chochote ambacho kitakuwa kina harufu ya kuguswa na binadamu.iwe ni mbao,vyuma,madini ya thaman,kandambili,ice cream, maji,wanajeshi n.k

Wazir husika ametangaza kusaidiana na watu wote wenye nia ya kumuua au kumdhuru simba dume huyu.
Toka shinyanga ni mimi mwandish wenu JITI KAVU
 
Huyo mtani wetu kwa mihemuko hatumuwezi tayari anakwambia simba kama real Madrid tatizo pale akianza kupigwa huwa anapata udhuru wa ajabu mpaka watu wanadhani kafikwa na umauti hatuna wasiwasi nao hii marathon watakata pumzi tu.
Simba S.C ni kama Real Madrid katika jambo hili.. wote wamecheza mechi za ligi kuu msimu bila kupoteza hata mechi moja.
 
Wewe ni Wazi Kuwa ni Katika ¼ .....
Manake Sidhani Kama Mtu Mwenye Akili Timamu Anaweza Fikiria Kuwa Chaneta FC atachukua Ubingwa Mbele Ya Mnyama huyu hatari...
Bishia hizo takwimu alizoweka sembo kwanza ndio ulete hizi Ngonjera zake. Ni kweli simba kashinda goli nyingi msimu huu zaidi ya Yanga?
 
Stand inaenda kuwaka moto huku mnyama akijitwalia kitoweo kirahisi
 
Back
Top Bottom