Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
MZAZI mwenza wa supastaa wa Bongo Fleva barani Afrika, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch, usiku wa jana Januari 22, 2020 ametua nchini akiwa na mtoto wake Naseeb Junior wakitokea kwao nchini Kenya.

Tanasha amepokelewa na gari ya Diamond katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Terminal 3, jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa Tanasha amesema amekuja kwa ajili ya shughuli za kimuziki ikiwemo ku-shoot video na Msanii wa Bongo Fleva nchini Tanzania Faustina Charles maarufu kwa jina la Nandy.
 
Kama kawaida tamasha tarehe 30 sasa kila kick muhimu sana ndio wakati wake huu na bado tutaona mengi kukiwa na dalili za kupungua kuongelea ataita press sasa kuongelea ya baba yake muhimu kick mwanzo mwisho.
 
Back
Top Bottom