Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Wasio na team huwa hawapanic na kuingiza habari za mtu mwingine.
Tumsifie dona kwa hatua nzuri aliyochukua kumleta mtoto kwa baba yake badala ya kuingiza uteam ushuzi
Sina team ushuzi Mimi ndio maana Niko huru hzo team zenyewe zilishakufa maana zilikuwa zinaongozwa na wanawake waso na mbele Wala nyuma. Ndio mana nadra kusikia sijui team kiba, wema zilikuja na ushamba wa kutumia ig.
 
Mtu kujijua ni jambo jema sana.

Kiranga anaweza kuingia nyumba akakuta watu wanapiga story, akaikuta story katikati, akaichukua yeye akaanza kuihadithia mpaka aliowakuta wanapiga story wote wakanyamaza wanamsikiliza yeye.

Halafu, kwake yeye, anaona hilo ni jambo jema, kwamba anaowashrehesha kawakubali.Kwa sababu, kwa upande mwingine, ni mtu mjivuni sana, anaweza kuingia sehemu akasalimia akakaa kimyaa, kama hajui kusema, anawasikiliza watu tu.

Kwa hiyo ukiona anapiga sana story ujue kakukubali kiaina.

Sasa Wanyamwezi wengi, hususan New Yorkers, ndiyo wana hizo sana. Ukikaa kimya wanakuona kama unawachora hivi, wanataka mtu wa stories.
Mmh utajieleza na visivyoelezwa sasa, binafsi mtu anayechonga sana ananibore balaa!
 
Humu JF nyuzi huwa nyingi hata huyo mama dangote anasemwa tu, so usione zari ni unique creature wakati mwenyewe anapenda kuongelewa negative au positive ndio maana huandaa kiki Mara za king bae, Mara arudi KWA diamond nakupangwa ka nyanya, so nawahurumia kwa kuzaa na huyo chibu acha awatumie KWA zamu sipati picha huko zari aliko maana alijiaminisha yeye ndo special case.
Pia case ya ufaransa inajulikana mama kaolewa kabisa Ila zarina au yoyote aliyezaa na dai hajaolewa ndo maana wanapishana tu madale.
Halafu Mimi mtu kuni attack sijali Sana as long nasimamia ninachokiamini na kutoa maoni yangu no one ka change me na msimamo Yani I'm free kabisa humu attack hazina jipya Yani na siwezi create I'd nyingi kisa watu wananijua never aisee.
Wewe msukuma ni muongo sijapata kuona
 
Wasio na team huwa hawapanic na kuingiza habari za mtu mwingine.
Tumsifie dona kwa hatua nzuri aliyochukua kumleta mtoto kwa baba yake badala ya kuingiza uteam ushuzi
Lazima zarina angeingia hata hamisa maana wamezaa na chibu na tangu tanasha aje wote wajifanya ku Post wanao, acha waumizwe mioyo maana ukewenza at the cost of umaarufu. Acha diamond awape heart attack kabisa
 
Wewe msukuma ni muongo sijapata kuona
Usilolijua ni usiku wa Giza na sina vinasaba. Kabisa na ukanda huo acha uongo na kutafta sifa za kijinga wenzako walishasema mengi kuhusu Mimi mwishowe wamenyamaza na sioni I'd zao. So narudia tena acha ujinga wa kuandika uongo JF, na uhuru wakufanya lolote, so please stay away from, na ujiheshimu Kama mwanaume rijali
 
Kila siku wanapost sio wanajifanya kuumia wameshamove on. Hamisa yupo na vunja bei na pia domo analea yule mtoto hata shule huwa anamfata japo ni kimya kimya.
Lazima zarina angeingia hata hamisa maana wamezaa na chibu na tangu tanasha aje wote wajifanya ku Post wanao, acha waumizwe mioyo maana ukewenza at the cost of umaarufu. Acha diamond awape heart attack kabisa
 
Mmh utajieleza na visivyoelezwa sasa, binafsi mtu anayechonga sana ananibore balaa!
Mara nyingi watu wanaokuwa bored kirahisi ni watu ambao hawana uwezo mkubwa wa kufikiri. Watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri wanaweza kuona vitu interesting in the most uninteresting things.

Umeni engage mchongaji, lazima upate anecdotal stories

Genius wa hesabu wa kihindi aliyeitwa Ramanujan, alitembelewa na rafiki yake Muingereza Harding. Hawa miamba wawili akili zao hazikuwa nzuri kwenye hesabu. Harding aliyekuwa kaletwa kwa Ramanujan na taxi , akamwambia Ramanujan, ile taxi iliyonileta ina nambq moja very boring, the number is not interesting at all. Hiyo taxi ilikuwa namba 1729.

Ramanujan na u genius wake akaona kitu tofauti kabisa.

Akamwambia Harding.Hiyo namba iko very interesting.

Akasema ""it is a very interesting number; it is the smallest number expressible as the sum of two [positive] cubes in two different ways."



Sasa pengine unaona watu wachongaji wako boring - especially wanaojua wanaongea nini, kuna wengine wako boring kwa sababu hawana point, I will give you that- kwa sababu wewe una uwezo mdogo tu wa kuelewa mambo.

Kuna sababu kadhaa za wewe kuwa bored na mtu anayechonga.

Na sababu hizi zinaweza kuwa valid au invalid kuhusiana na mazingira.

1. Wewe unamuonea gele huna uwezo wa kuchonga.

2. Anaongea vitu off point kwako

3. Anaongea vitu vyenye point ila wewe uwezo wako wa kumuelewa mdogo.

4. Wewe ni anti-social una tabia ya kuogopa watu tu.

5. Kakuingilia sehemu yako ya mapumziko.

6. Wewe ni msiri una mengi ya kuficha na unaogopa mtu akikuzungumzisha sana atafunua unayotaka kuficha. Winston Churchill alisema modest people have much to be modest about"

7. You are not curious or inquisitive.

8.Umekwenda sehemu isiyokuhusu. Yani kama wewe mtu hupendi maongezi halafu umekwenda kijiwe cha muuza kahawa. Hapo lazima uudhike watu wanaongea sana lakini tatizo ni wewe mwenyewe ulitakiwa kwenda kwa maburuda watawa walioapa kiapo cha ukimya.

JF ni kijiwe cha maongezi. Kama hupendi wachongaji na umekuja JF umepotea njia.

9. Hujui kujitetea kimaongezi na watu wanaochonga wanakushinda kwa hoja kila mara.

10. Umelianzisha na mtu anayechonga halafu hujui kulimaliza.

Wewe mtu hutaki watu wanaochonga halafu unalianzisha na Kiranga lazima nikuone hujui unachotaka ni nini katika maisha haya.

Maana atachonga alphabet nzima kuanzia Alpha particles mpaka Zeta functions, na zote zitakaa sawa na kuwa relevant kwenye maongezi.

Kuanzia mashairi ya Hip Hop ya Rakim The God MC mpaka milinganyo ya hesabu ya Ramanujan-Harding

Wakati huo wewe unajisemea "Why did I start it with this guy?"

Kama hupendi watu wanaochonga, hususan wanaojua wanachonga nini, kaa mbali na mimi.

Kuna siku nilimuuliza jamaa mmoja mzungu, kwa nini wazungu wanapenda sana vita?

Akanijibu, kwa sababu wanaiweza vizuri sana.

They are just good at it.

Labda sababu hupendi watu wanaochonga ni kwamba wewe huwezi kuchonga.

Na kuchonga kwa mpangilio kunataka akili, ujuzi wa lugha, kuwa na data, kumbukumbu, uwezo wa kuunganisha mambo kimantiki, kujiamini etc.

Vitu ambavyo kama huna, siwezi kushangaa ukiwa hupendi watu wanaochonga.

Unakuwa naturally hupendi watu waliokuzidi vitu fulani muhimu.
 
Wanapishana tyuuh kupeleka watoto kwa Mr nyange, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Mara nyingi watu wanaokuwa bored kirahisi ni watu ambao hawana uwezo mkubwa wa kufikiri. Watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri wanaweza kuona vitu interesting in the most uninteresting things.

Umeni engage mchongaji, lazima upate anecdotal stories

Genius wa hesabu wa kihindi aliyeitwa Ramanujan, alitembelewa na rafiki yake Muingereza Harding. Hawa miamba wawili akili zao hazikuwa nzuri kwenye hesabu. Harding aliyekuwa kaletwa kwa Ramanujan na taxi , akamwambia Ramanujan, ile taxi iliyonileta ina nambq moja very boring, the number is not interesting at all. Hiyo taxi ilikuwa namba 1729.

Ramanujan na u genius wake akaona kitu tofauti kabisa.

Akamwambia Harding.Hiyo namba iko very interesting.

Akasema ""it is a very interesting number; it is the smallest number expressible as the sum of two [positive] cubes in two different ways."



Sasa pengine unaona watu wachongaji wako boring - especially wanaojua wanaongea nini, kuna wengine wako boring kwa sababu hawana point, I will give you that- kwa sababu wewe una uwezo mdogo tu wa kuelewa mambo.

Kuna sababu kadhaa za wewe kuwa bored na mtu anayechonga.

Na sababu hizi zinaweza kuwa valid au invalid kuhusiana na mazingira.

1. Wewe unamuonea gele huna uwezo wa kuchonga.

2. Anaongea vitu off point kwako

3. Anaongea vitu vyenye point ila wewe uwezo wako wa kumuelewa mdogo.

4. Wewe ni anti-social una tabia ya kuogopa watu tu.

5. Kakuingilia sehemu yako ya mapumziko.

6. Wewe ni msiri una mengi ya kuficha na unaogopa mtu akikuzungumzisha sana atafunua unayotaka kuficha. Winston Churchill alisema modest people have much to be modest about"

7. You are not curious or inquisitive.

8.Umekwenda sehemu isiyokuhusu. Yani kama wewe mtu hupendi maongezi halafu umekwenda kijiwe cha muuza kahawa. Hapo lazima uudhike watu wanaongea sana lakini tatizo ni wewe mwenyewe ulitakiwa kwenda kwa maburuda watawa walioapa kiapo cha ukimya.

JF ni kijiwe cha maongezi. Kama hupendi wachongaji na umekuja JF umepotea njia.

9. Hujui kujitetea kimaongezi na watu wanaochonga wanakushinda kwa hoja kila mara.

10. Umelianzisha na mtu anayechonga halafu hujui kulimaliza.

Wewe mtu hutaki watu wanaochonga halafu unalianzisha na Kiranga lazima nikuone hujui unachotaka ni nini katika maisha haya.

Maana atachonga alphabet nzima kuanzia Alpha particles mpaka Zeta functions, na zote zitakaa sawa na kuwa relevant kwenye maongezi.

Kuanzia mashairi ya Hip Hop ya Rakim The God MC mpaka milinganyo ya hesabu ya Ramanujan-Harding

Wakati huo wewe unajisemea "Why did I start it with this guy?"

Kama hupendi watu wanaochonga, hususan wanaojua wanachonga nini, kaa mbali na mimi.

Kuna siku nilimuuliza jamaa mmoja mzungu, kwa nini wazungu wanapenda sana vita?

Akanijibu, kwa sababu wanaiweza vizuri sana.

They are just good at it.

Labda sababu hupendi watu wanaochonga ni kwamba wewe huwezi kuchonga.

Na kuchonga kwa mpangilio kunataka akili, ujuzi wa lugha, kuwa na data, kumbukumbu, uwezo wa kuunganisha mambo kimantiki, kujiamini etc.

Vitu ambavyo kama huna, siwezi kushangaa ukiwa hupendi watu wanaochonga.

Unakuwa naturally hupendi watu waliokuzidi vitu fulani muhimu.
Haaahaaaa[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

We jamaa mara hii umekuwa New Yorker [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]


Anyway mi nazungumzia mtu anayeongea pumba halafu mda mrefu ndio anayenichosha na kuniboa!

Lakini kama anatema madini kama Kiranga nakuwa curious to know better

Umenisikia we mpinga kristo?
 
Angalia vigezo vyao vyote na uvifikishe.

Tafuta Watanzania senior waliowahi kufanya kazi UN wakupe ushauri. Bahati mbaya sana mwaka jana nimempoteza mzee wangu Dr. Mahiga, angekuwepo ningeweza kukupa contact akusaidie. Huyu kafanya kazi UN yenyewe (UNHCR, UN Special Rep to Somalia etc) mpaka serikali ya Tanzania katika UN kama balozi wa Tanzania. Tumepoteza kichwa. Sasa hivi nikitafuta mtu wa caliber yake anayeijua UN ninayemjua simuoni.

Ila, vigezo ni muhimu zaidi ya connections, conneections zinakupa boost tu, msingi ni kutimiza vigezo.

Ukifanikiwa ukifika NYC kama huna sehemu ya kukaa/ hujui Watanzania walipo nitafute.
Yupo Mama ASHA Rose Migiro, Yupo Mama Ana Tibaijuka, Yupo Mama Getrude Mongela na Mzee Bernard Membe. Please wakumbuke hao pia Walikuwa na Mchango UN ya Kofi Anaan na Yule Mkorea nimesahau Jina.
 
Yupo Mama ASHA Rose Migiro, Yupo Mama Ana Tibaijuka, Yupo Mama Getrude Mongela na Mzee Bernard Membe. Please wakumbuke hao pia Walikuwa na Mchango UN ya Kofi Anaan na Yule Mkorea nimesahau Jina.
Nimesema ninayemjua. Hao siwajui.

Au unataka niwaparamie watu siwajui?
 
Haaahaaaa[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

We jamaa mara hii umekuwa New Yorker [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]


Anyway mi nazungumzia mtu anayeongea pumba halafu mda mrefu ndio anayenichosha na kuniboa!

Lakini kama anatema madini kama Kiranga nakuwa curious to know better

Umenisikia we mpinga kristo?
Mimi nilikuwa New Yorker tangu nasoma hapo Dar, enzi hizo tunaenda kumuangalia Peter Jennings Peugeot House USIS Library.

Na ni zaidi ya Mpinga Kristo, usinishushe cheo tafadhali.

Najua madini unayakubali.

Jivin'.
 
Nimesema ninayemjua. Hao siwajui.

Au unataka niwaparamie watu siwajui?
Haya nimekufahamisha tuu. Please usiwaparamie🤣Ila mtu ukiwa na Shida unamtafuta mtu wa kukusaidia hata kama hujawahi kumuona. Unaomba appointment unaongea Shida yako unasaidiwa.
 
Hii familia imekamata akili za watu kwelikweli,hata wapige chafya tu tunatangaziwa[emoji16]
 
Mara nyingi watu wanaokuwa bored kirahisi ni watu ambao hawana uwezo mkubwa wa kufikiri. Watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri wanaweza kuona vitu interesting in the most uninteresting things.

Umeni engage mchongaji, lazima upate anecdotal stories

Genius wa hesabu wa kihindi aliyeitwa Ramanujan, alitembelewa na rafiki yake Muingereza Harding. Hawa miamba wawili akili zao hazikuwa nzuri kwenye hesabu. Harding aliyekuwa kaletwa kwa Ramanujan na taxi , akamwambia Ramanujan, ile taxi iliyonileta ina nambq moja very boring, the number is not interesting at all. Hiyo taxi ilikuwa namba 1729.

Ramanujan na u genius wake akaona kitu tofauti kabisa.

Akamwambia Harding.Hiyo namba iko very interesting.

Akasema ""it is a very interesting number; it is the smallest number expressible as the sum of two [positive] cubes in two different ways."



Sasa pengine unaona watu wachongaji wako boring - especially wanaojua wanaongea nini, kuna wengine wako boring kwa sababu hawana point, I will give you that- kwa sababu wewe una uwezo mdogo tu wa kuelewa mambo.

Kuna sababu kadhaa za wewe kuwa bored na mtu anayechonga.

Na sababu hizi zinaweza kuwa valid au invalid kuhusiana na mazingira.

1. Wewe unamuonea gele huna uwezo wa kuchonga.

2. Anaongea vitu off point kwako

3. Anaongea vitu vyenye point ila wewe uwezo wako wa kumuelewa mdogo.

4. Wewe ni anti-social una tabia ya kuogopa watu tu.

5. Kakuingilia sehemu yako ya mapumziko.

6. Wewe ni msiri una mengi ya kuficha na unaogopa mtu akikuzungumzisha sana atafunua unayotaka kuficha. Winston Churchill alisema modest people have much to be modest about"

7. You are not curious or inquisitive.

8.Umekwenda sehemu isiyokuhusu. Yani kama wewe mtu hupendi maongezi halafu umekwenda kijiwe cha muuza kahawa. Hapo lazima uudhike watu wanaongea sana lakini tatizo ni wewe mwenyewe ulitakiwa kwenda kwa maburuda watawa walioapa kiapo cha ukimya.

JF ni kijiwe cha maongezi. Kama hupendi wachongaji na umekuja JF umepotea njia.

9. Hujui kujitetea kimaongezi na watu wanaochonga wanakushinda kwa hoja kila mara.

10. Umelianzisha na mtu anayechonga halafu hujui kulimaliza.

Wewe mtu hutaki watu wanaochonga halafu unalianzisha na Kiranga lazima nikuone hujui unachotaka ni nini katika maisha haya.

Maana atachonga alphabet nzima kuanzia Alpha particles mpaka Zeta functions, na zote zitakaa sawa na kuwa relevant kwenye maongezi.

Kuanzia mashairi ya Hip Hop ya Rakim The God MC mpaka milinganyo ya hesabu ya Ramanujan-Harding

Wakati huo wewe unajisemea "Why did I start it with this guy?"

Kama hupendi watu wanaochonga, hususan wanaojua wanachonga nini, kaa mbali na mimi.

Kuna siku nilimuuliza jamaa mmoja mzungu, kwa nini wazungu wanapenda sana vita?

Akanijibu, kwa sababu wanaiweza vizuri sana.

They are just good at it.

Labda sababu hupendi watu wanaochonga ni kwamba wewe huwezi kuchonga.

Na kuchonga kwa mpangilio kunataka akili, ujuzi wa lugha, kuwa na data, kumbukumbu, uwezo wa kuunganisha mambo kimantiki, kujiamini etc.

Vitu ambavyo kama huna, siwezi kushangaa ukiwa hupendi watu wanaochonga.

Unakuwa naturally hupendi watu waliokuzidi vitu fulani muhimu.


Naunga mkono hoja! [emoji1666]

Basi mimi nimekuwa nikipata changamoto sana wakati mwingine ninapochambua jambo kwa kutumia rejea mbalimbali lakini unakuta wanaonizunguka wananikata kuendelea na mjadala physically.

Sasa nimekusoma hapo nimeelewa vizuri na imenipa kujifunza kitu na kuendelea kuchochea karama yangu ya uchambuzi wa hoja.

Kumbe nipo upande wa usahihi kabisa!

Kumbe kile mjinga kinachomchosha (boring) ni something of interest kwa mwerevu wa mambo!

Wabheja sana @ Kiranga!
 
Wamarekani ubaguzi labda mtaani, sehemu za kazi, hususan sehemu kama UN, zina sheria kali sana dhidi ya ubaguzi. Na sehemu kama New York City washapitia stages nyingi sana za ubaguzi, kwa sasa hakuna ubaguzi wa wazi, mtu akiitwa mbaguzi ni tusi kubwa sana.

Pia New York, hususan UN, kuna watu wengi wa mataifa tofauti, hivyo New Yorkers washazoea kuishi na watu wa sehemu mbalimbali za dunia.Tatizo labda ukiend ahuko mikoani.

Changamoto kubwa ni utamaduni. Wamarekani wengi, hususan New York, ni watu wa kuongea sana, na wanategemea na wewe uwe muongeaji.Ukiwa mkimya kuna wengine wanaweza kufikiri una tatizo.Hivyo kila wakati unatakiwa kuwa mtu wa kujieleza, kupiga stories, kuwa mtu wa maneno maneno.Hii kitu imeni affect mpaka mimi nimekuwa mtu wa maneno maneno sana zaidi hata ya awali, ingawa hata awali nilikuwa mtu wa maneno.Kibongobongo inaweza kuwa oversharing na too much information, lakini kwao ndiyo wanakuona umewakubali na wao inakuwa rahisi kukukubali.Ukiwa mkimya wanakuona uko distant.Sasa kasheshe ukitoka Bongo hujazoea mi accent yao, wanaongea haraka sana, halafu maswali kibao.Lazima ujipange kwenye maongezi.

Jipange upate papers vizuri, ukishaingia kwenye mfumo wa UN na kukubalika utafurahia sana kazi yako.

Ila sitaki kukudanganya, kazi za UN zina competition sana na kuna watu wengi kutoka dunia nzima wanazitaka.Hivyo jipange ufikishe vigezo vyote halafu tafuta mtu anayeijua vizuri UN akusaidie.
Ninekupata sana mkuu, bigup na nashkuru sana

Daah kumbe nina mthihani mkubwa
 
Back
Top Bottom