Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mwanamuziki Tanasha Donna amewekwa Karantini kilazima baada ya kukiuka agizo la Serikali la kubaki ndani kwa muda huu wa tishio la CoronaVirus
Tanasha, aliyewahi kuwa mpenzi wa Diamond Platnumz aliweka video mtandao akiwa kwenye tafrija fupi ya siku ya kuzaliwa ya Tim Matiba, siku ya Ijumaa kuu
Atakuwa karantini kwa siku 14 kwa gharama zake na atashtakiwa kwa kukiuka sheria
====
Diamond Platinumz' ex Tanasha Donna has been put on forced quarantine after flouting the government curfew rules.
Tanasha posted videos of herself attending a house party on Good Friday to celebrate Tim Matiba’s birthday, a manager of a popular Mombasa Road club.
She posted a video of herself driving in the dark, way after the 7pm quarantine.
Word Is has learned that she has been put on forced quarantine. She will be in quarantine for 14 days at her own cost. She also faces prosecution for flaunting the rules.
The singer was contracted on Good Friday to make an appearance and later perform at Matiba’s birthday party. Ringtone also attended.
Sources now claim everyone who attended the party has been put on forced quarantine and may be charged once they have been released.