Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Itakuwa hajui kutofautisha before na afterYA JUU BEFORE
YA CHINI AFTER
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa hajui kutofautisha before na afterYA JUU BEFORE
YA CHINI AFTER
Mjini mipango. Fungua ofisi ya kufanya upasuaji Mjini ule hela ya wajinga-wajinga. RIP KapteniNitoeni ushamba, hivi hawa wanafanyiwa upasuaji, mbona makovu hayaonekani??
Ya chini ilikua bomba, ya juu kawa kama ya Amina mzaramoYa juu-after
Ya chini- before
Tuone kapicha mkuu! Si wanasemaga lips pana zinafaa sana kunyonyea?Wengine tunawaza kupunguza lips wengine wanaongeza
Ila sehemu moja tu ndo ngumu kumodifai.Picha chini
Ni mwonekano baada na kabla ya kufanyiwa oparesheni hiyo ya mdomo.
Nini maoni yako,
Kapendeza au hajapendeza?
View attachment 2974262
Naomba kuziona hizoWengine tunawaza kupunguza lips wengine wanaongeza
Picha chini
Ni mwonekano baada na kabla ya kufanyiwa oparesheni hiyo ya mdomo.
Nini maoni yako,
Kapendeza au hajapendeza?
View attachment 2974262ni mbunge wa wapi huyu?
Lkn wewe unaweza kuta kipato chako % kubwa kinaishia mahala ambapo wanawake hawaweki hata mia kazi inazidi kuwa kazi [emoji23][emoji23][emoji23]Kusema kweli Kipato kingi cha Wanawake kinaishia kwenye urembo.
Imagine kukamilisha hiyo surgery unaweza Kuta ametumia dollar 1,200 ama zaidi [emoji119]
Kwa kweli Sina budi kumshukuru Mungu kuniumba Mwanaume
If you are a Man, be proud of [emoji1635]
Amependeza Sana , mzuri Sana huyu binti