Tanasha Donna afanya oparesheni ya urembo wa mdomo

Lkn wewe unaweza kuta kipato chako % kubwa kinaishia mahala ambapo wanawake hawaweki hata mia kazi inazidi kuwa kazi [emoji23][emoji23][emoji23]
Umeanza ukorofi Kwa Wazee eeh 😜

Nimerudia kusoma hapo "Kazi inazidi kuwa kazi"...
 
[emoji23][emoji23] hauna cha uzee wala nini bado unadai sana.
Bado nadai wapi wakati Mwezi Ujao natimiza 79 😜

You are real missed Mjukuu πŸ€—

Bibi yako ni juzi tu ametoka kukuulizia 😜
 
Kwani huyo ni nani huko Daslamu?

Naona mleta mada umeandika kama vile wote tunamjua,wengine tupo huku vijijini ndani ndani.
 
Vitu vuote hivyo feki lakini atakwambia I want a real man!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…