Una maanisha key kubwa na li sim li kubwa la tigo. Tamnunulia sim ndogo usijali
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maanisha key kubwa na li sim li kubwa la tigo. Tamnunulia sim ndogo usijali
Okay,basi sawa Mama Dangote aitumie hiyo gari kujikinga na KoronaLeo mama Dangote kaposti ndinga zote zilizokua home kwa Diamond ikiwemo prado ambayo Tanasha alipewa zawadi siku ya kuzaliwa.
Baada ya kuachana Tanasha karudi kwao ila inaonekana gari bado iko kwa Mondi.
Wadada tafuteni pesa zenu msipende mtelemko sasa hivi unapewa gari kadi anabaki nayo mwenye gari mkiachika mnaondoka na watupu kwenye yutong.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika gani kama kanyang'anywa?
Huenda kalisusa mwenyewe, hasira za kike unazijua wewe? Tena ke yenyewe ya KENYA.
Ukweli hausemwi!!!...Gari hizo ni za matangazo (Kiki) Tanasha alipewa gari Kama tangazo haikua zawadi kweli!!!... magari hayana kadi ndio maana Tanasha hawezi kuchukuaLeo mama Dangote kaposti ndinga zote zilizokua home kwa Diamond ikiwemo prado ambayo Tanasha alipewa zawadi siku ya kuzaliwa.
Baada ya kuachana Tanasha karudi kwao ila inaonekana gari bado iko kwa Mondi.
Wadada tafuteni pesa zenu msipende mtelemko sasa hivi unapewa gari kadi anabaki nayo mwenye gari mkiachika mnaondoka na watupu kwenye yutong.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapenda Kiki ndio shida!!!... Tanasha angekua kapewa Gari kweli angeondoka nayo!!!...tumemwona Hamisa na Rav 4 yake kwanini Tanasha hajachukua gari aliyopewa Kama zawadi!!!... Biashara matangazoTabia mbaya sana kumnyang'anya mwanamke kitu ulicho mpa wakati umemtumia. Ipo siku laana zitamrudia. Manina zake
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1425054kwa mujibu wa mama dangote gari ya tanasha bado iko chini ya utawala wake mama dangote . Tanasha yuko na uber mombasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chuki! Kabla hujaropoka kw mama wa mwenzio kumbuka na wewe una mamaHuyu mama atakua anataman yeye ndo angekua mke/gf wa mwanae.
The good, the bad and the ugly.
Wanapenda Kiki ndio shida!!!... Tanasha angekua kapewa Gari kweli angeondoka nayo!!!...tumemwona Hamisa na Rav 4 yake kwanini Tanasha hajachukua gari aliyopewa Kama zawadi!!!... Biashara matangazo
unavyolalamika tanasha ni dada yako????????Leo mama Dangote kaposti ndinga zote zilizokua home kwa Diamond ikiwemo prado ambayo Tanasha alipewa zawadi siku ya kuzaliwa.
Baada ya kuachana Tanasha karudi kwao ila inaonekana gari bado iko kwa Mondi.
Wadada tafuteni pesa zenu msipende mtelemko sasa hivi unapewa gari kadi anabaki nayo mwenye gari mkiachika mnaondoka na watupu kwenye yutong.
Sent using Jamii Forums mobile app
GambiaHiyo gari Ina plate namba za nchi gani ?
Unaanzaje kumuonea huruma mtu asiyejihurumia? Aliambiwa hakusikiaYani nnavuonea huruma Tanasha utadhani na mm ni mwanamke.
Katoto kazuri sn lkn mondi kakatafuna na kukatema......
Kwani aliambiwa nn mkuuUnaanzaje kumuonea huruma mtu asiyejihurumia? Aliambiwa hakusikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu gari ya heshima tehUnaota wewe..Tanasha atumie uber? Tafuta interview yake aliporudi Kenya! Ana ndinga kali
Kale kanajielewa! Kako smart..katakuza mtoto vyema kbs