Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Mungu amsaidie. Hopefully hatotokea mdada mwingine sasa hivi akabeba mimba ya Dai.Kale kanajielewa! Kako smart..katakuza mtoto vyema kbs
Btw birthday yako ni leo au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu amsaidie. Hopefully hatotokea mdada mwingine sasa hivi akabeba mimba ya Dai.Kale kanajielewa! Kako smart..katakuza mtoto vyema kbs
Leo mama Dangote kaposti ndinga zote zilizokua home kwa Diamond ikiwemo prado ambayo Tanasha alipewa zawadi siku ya kuzaliwa.
Baada ya kuachana Tanasha karudi kwao ila inaonekana gari bado iko kwa Mondi.
Wadada tafuteni pesa zenu msipende mtelemko sasa hivi unapewa gari kadi anabaki nayo mwenye gari mkiachika mnaondoka na watupu kwenye yutong.
Sent using Jamii Forums mobile app
Domo kwa zareeeeeh anaumia mnoo tena hatareeeeh na bado boss lady anazid kutusua tyuuh lifeAlichobaki nacho ni kumbukumbu ya mtoto na umaarufu kua alitembea na Chibu.
Mademu wengi Hawana akili kabisa.!!..
Naye Chibu ni mnoko kama walivyo wanoko wengine... Unawezaje Ruhusu Mama wa mwanao, ahadhirike????...
Nkm jamaa anatumia ako kambinu kuwaadhibu mademu wenye njaa.... Ndio maana mpaka Leo ,Anaumia kuona Zarinah anapeta tu.
Nyie wote ni watoto mnapata faida gani kutukaniana wazaziMama yangu ni bibi yako mzaa mama yako. Kwa hio unamla bibi yako 0713? Kwa style hii sjui kama corona itaisha
Sent using Jamii Forums mobile app