Tetesi: Tanasha kanyang’anywa gari, wanawake tafuteni pesa zenu

kwavile alimtanulia mwenyewe kijana mjua kuwadhalilisha wacha akipate cha mtemakuni.

saa hizi kuna taahira jingine limekaa tayari kumpa mond[emoji16][emoji16][emoji16],sisi ni nani hata tuwazuie na kuwaonea huruma jamani!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Mama Mondi ni mshamba sana yule Mama, inaelekea alikulia maisha ya dhiki sana maishani mwake na ndiyo maana kila tukio kwake ni jambo la hajabu na lazima atapost mtandaoni ili watu wacomment na kumsifia....yaani simuelewi ana akili gani yule Mama.
 
Domo kwa zareeeeeh anaumia mnoo tena hatareeeeh na bado boss lady anazid kutusua tyuuh life

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…