Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una akili kuliko Gaidi? 🐼Wewe huna akili, Ole Sabaya wakuteka naye na wakati ni jangili
UWT mjitafakariWewe una akili kuliko Gaidi? 🐼
Sasa viongozi wa dini ndio wanaoteka, iulize serikal yako ya CCMViongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
DRAMAViongozi wa Dini mko wapi?
Narudia tena Viongozi wa Dini mko wapi unyama ukizidi kuongezeka?
Nimeona huko Global Tv Katibu wa Wazazi CCM alitekwa na mpenzi wake kisha kuuwawa na Mwili wake kukatwakatwa na kutupwa Bahari beach na Tegeta Block D
Dada huyu mkazi wa Tandika maghorofani taarifa za kupotea kwake ziliripotiwa polisi Chang'ombe ambao walimtia Mbaroni huyo mpenzi wake ambaye alitaja maeneo mbalimbali alikozika vipande vipande vya Mwili wa Katibu wa Wazazi CCM
Credit: Global Tv
My take; Hali imezidi kuwa mbaya, roho za Ukatili zimetamalaki
Una miaka mingapi?Bei gani kukuweza Mshangazi, afu...🤭
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kwa hela gani wanazomiliki? Hao ni washamba tu wa mapenzi.!!Kama una tamaa ya hela za mtu lazima umalizwe hakuna namna... kama mtu humtaki acha kula hela zake.
Muache kula hela harafu km hamtoiHawa wanaume washamba wa mapenzi watatumaliza 😭😭
Kuna mawatu yataunganisha dots na kunijua, swali limekaa kimitego mitego sana hilo...🏃🤣Una miaka mingapi?
Duh jamaa itakuwa ndio kazi zakeKafa kifo cha mateso kwenye gari la muuji wame kuta sumu ya panya na mabomba ya sindano
Sasa km kutaja umri wako unaogopa watu ndio utaweza kuwa na mahusiano na mtu mwenye age same na ya bibi yako?!!Kuna mawatu yataunganisha dots na kunijua, swali limekaa kimitego mitego sana hilo...🏃🤣
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Itakua Kina mwashambwa walikua wanamla huyu dada, mumewe akaamua kumgawanaa, LolHuruma yangu kwa watoto watatu. Very innocent.
View attachment 3079297
Nimeshikwaaa wapiiiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera kwa kushikwa masikio [emoji2][emoji2]
😹😹😹 hii vayolensi uduguuItakua Kina mwashambwa walikua wanamla huyu dada, mumewe akaamua kumgawanaa, Lol
😭😭😭 Binadam wabayaBinadamu tuna roho ngumu sana imagine mke kisu kama huyu mwamba kaamua kumuuwa na kumkata vipande vipande kama samaki kisha kuvizika Sehemu totauti tofauti ili kukosekana ushahidi.
Jeshi la polisi linamshikilia mwanaume mmoja kwa kosa la kumuuwa mkewe kisha kumkatakata vipande vipande na kuvizika maeneo tofauti tofauti
USSR
=====
Huyu anaitwa Ezenia Stanley Kamana, alitokewa nyumbani kuanzia tarehe 1 August huko Tandika Maghorofani, Taarifa ya polisi imethibitisha kwamba, mwanamke huyu ameuawa kwa kuchinjwa na aliyekuwa mpenzi wake. Inadaiwa mwanaume huyo alimchinja mwanamke huyo na kutenganisha viungo vyake.
Baadhi ya viungo vikiwemo paja moja, vipande vya mikono miwili, eneo la kifua, tako, matumbo na nguo vilikutwa kwenye kiroba maeneo ya Kunduchi jijini Dar es Salaam.
Baada ya kupata viungo hivyo na mtuhumiwa kuelezwa aliamua kueleza ukweli kuwa alimuua mpenzi wake huyo na kutenganisha mwili wake katika vipande na kwenda kuvitupa maeneo tofauti.
Agosti 23, 2024 aliwaongoza askari hadi eneo la Tegeta Block D na kuwaonyesha alipotupa miguu na baadaye aliwaonyesha eneo ambalo alitupa kichwa...
Umekuwa kunguru kujificha kwenye kichaka cha umri ilihali we mwenyewe hujui umri wangu, afu mbona nina dada zangu wengi tu ni Bibi kwa Watu wengine?Sasa km kutaja umri wako unaogopa watu ndio utaweza kuwa na mahusiano na mtu mwenye age same na ya bibi yako?!!