KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hoodlum. S.O.B.Wewe ni ka-mtu kazembe tu!
Kumbe sasa unajua Uganda ipo; lakini hujui tu kusoma na kutambua kwamba sijaandika popote kwamba "solar ni cheaper kuliko hydro"? Hii ni akili gani kama sio matope tupu.
Kati ya Tanesco, Uganda, Kenya na wengine wengi duniani wanaoangalia uwezekana na wanaotumia tayari na wewe kichaa mvuta bangi; kwa nini unadhani wewe ndie mtaalam zaidi kuliko hao ambao wanahusika na hizo kazi.
Wewe ni mpuuzi mmoja mvuta bangi, inapokukolea kichwani unakuja hapa kuropoka n hovyo.
Bandiko uliloweka hapo linakufanya uonekane mtu wa hovyo kweli, kwa sababu umekubali unachopinga kwamba tayari kinafanyika, na bado kwa sababu ya akili yako kuwa punguani huoni ufara huo.
Haya, pamoja na upunguani unaokusumbua tueleze, una "leeway' gani na carbon saving"? Ukitumia 'thermal au mkaa wa mawe" hiyo leeway inazuia usipollute? Stupid moron.
Kuhusu mambo ya "kwenda shule", shule unayodhani wewe unayo na ndiyo unayojivunia nayo hapa, kwa taarifa yako, usijisumbue na hilo. Kusanya wewe na dada zako wote na baba yako (namwacha tu mama yako kwa heshima), wote hamna elimu kuzidi hiyo unayoitilia shaka.
Usizoee kurukia watu usiowafahamu.
Kwanza ni juzi tu umejiunga hapa, unapata wapi 'audacity' y KUJ na moto wa kipumbavu kama huo? Shit!