TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

TANESCO achana na Solar Energy, ni wizi na hasara kwa Taifa

Wewe ni ka-mtu kazembe tu!
Hoodlum. S.O.B.

Kumbe sasa unajua Uganda ipo; lakini hujui tu kusoma na kutambua kwamba sijaandika popote kwamba "solar ni cheaper kuliko hydro"? Hii ni akili gani kama sio matope tupu.

Kati ya Tanesco, Uganda, Kenya na wengine wengi duniani wanaoangalia uwezekana na wanaotumia tayari na wewe kichaa mvuta bangi; kwa nini unadhani wewe ndie mtaalam zaidi kuliko hao ambao wanahusika na hizo kazi.

Wewe ni mpuuzi mmoja mvuta bangi, inapokukolea kichwani unakuja hapa kuropoka n hovyo.

Bandiko uliloweka hapo linakufanya uonekane mtu wa hovyo kweli, kwa sababu umekubali unachopinga kwamba tayari kinafanyika, na bado kwa sababu ya akili yako kuwa punguani huoni ufara huo.

Haya, pamoja na upunguani unaokusumbua tueleze, una "leeway' gani na carbon saving"? Ukitumia 'thermal au mkaa wa mawe" hiyo leeway inazuia usipollute? Stupid moron.

Kuhusu mambo ya "kwenda shule", shule unayodhani wewe unayo na ndiyo unayojivunia nayo hapa, kwa taarifa yako, usijisumbue na hilo. Kusanya wewe na dada zako wote na baba yako (namwacha tu mama yako kwa heshima), wote hamna elimu kuzidi hiyo unayoitilia shaka.
Usizoee kurukia watu usiowafahamu.
Kwanza ni juzi tu umejiunga hapa, unapata wapi 'audacity' y KUJ na moto wa kipumbavu kama huo? Shit!
 
Achana na hao watu ukisikia mtu anasema solar ni cheap kuliko Hydropower achana nae mara moja... either haelewi kabisa anachosema au anahadithiwa zile story jua ni bure basi ukitumia solar utapata nafuu...
Ni wapi palipoandikwa "solar is cheaper than hydropower"?
 
Hoodlum. S.O.B.

Kumbe sasa unajua Uganda ipo; lakini hujui tu kusoma na kutambua kwamba sijaandika popote kwamba "solar ni cheaper kuliko hydro"? Hii ni akili gani kama sio matope tupu.

Kati ya Tanesco, Uganda, Kenya na wengine wengi duniani wanaoangalia uwezekana na wanaotumia tayari na wewe kichaa mvuta bangi; kwa nini unadhani wewe ndie mtaalam zaidi kuliko hao ambao wanahusika na hizo kazi.

Wewe ni mpuuzi mmoja mvuta bangi, inapokukolea kichwani unakuja hapa kuropoka n hovyo.

Bandiko uliloweka hapo linakufanya uonekane mtu wa hovyo kweli, kwa sababu umekubali unachopinga kwamba tayari kinafanyika, na bado kwa sababu ya akili yako kuwa punguani huoni ufara huo.

Haya, pamoja na upunguani unaokusumbua tueleze, una "leeway' gani na carbon saving"? Ukitumia 'thermal au mkaa wa mawe" hiyo leeway inazuia usipollute? Stupid moron.

Kuhusu mambo ya "kwenda shule", shule unayodhani wewe unayo na ndiyo unayojivunia nayo hapa, kwa taarifa yako, usijisumbue na hilo. Kusanya wewe na dada zako wote na baba yako (namwacha tu mama yako kwa heshima), wote hamna elimu kuzidi hiyo unayoitilia shaka.
Usizoee kurukia watu usiowafahamu.
Kwanza ni juzi tu umejiunga hapa, unapata wapi 'audacity' y KUJ na moto wa kipumbavu kama huo? Shit!
Tulia uandike ya maana, bhasi! Ukishupalia kushinda kwa matusi unaishia kuandika haya yasiyotusaidia ktk mjadala huu. Tueleweshe unachotetea ni nini? Mjadala ulipofikia, tunasema Tanesco kujiiingiza kwenye haya mambo ya Solar ni simply upuuzi. Tunazo energy sources za maana, za gharama nafuu na matokeo makubwa kuliko solar. Solar ni upigaji na kutafutia makampuni ya nje dili za ndani. Wewe Kalamu1 unasemaje?? Usiseme uko JF miaka mingi! Haitusaidii kugundua kama wewe ni mtu wa kutumainiwa. Pia usituambie eti Kenya na Uganda wanayo solar, ni hoja mfu.
 
Tulia uandike ya maana, bhasi! Ukishupalia kushinda kwa matusi unaishia kuandika haya yasiyotusaidia ktk mjadala huu. Tueleweshe unachotetea ni nini? Mjadala ulipofikia, tunasema Tanesco kujiiingiza kwenye haya mambo ya Solar ni simply upuuzi. Tunazo energy sources za maana, za gharama nafuu na matokeo makubwa kuliko solar. Solar ni upigaji na kutafutia makampuni ya nje dili za ndani. Wewe Kalamu1 unasemaje?? Usiseme uko JF miaka mingi! Haitusaidii kugundua kama wewe ni mtu wa kutumainiwa. Pia usituambie eti Kenya na Uganda wanayo solar, ni hoja mfu.
Nakuandikia hivyo kwa sababu unastahili kuandikiwa hivyo. Ukija na moto hapa utapata moto, unasikia bwana mdogo?

Ni kipi ulichoandika tangu umeanza kujibishana nami ambacho unaona ni cha maana? You should have taken sometime to check out who you are provoking before smearing your shit allover the place. Huna 'track record' ya aina yoyote hapa, halafu unajitia ukichaa na kuparamia watu bila kujua ni watu wa namna gani. Stupid danderhead.

Tanesco kujiiingiza kwenye haya mambo ya Solar ni simply upuuzi. Tunazo energy sources za maana, za gharama nafuu na matokeo makubwa kuliko solar
Ungetoa majibu ya nanmna hii ungesikia nakupinga. Rudi huko ulikoanzia halafu ulinganishe na haya.
Hata hivyo, Tanesco na nchi mbalimbali wanakotumia chanzo hicho cha umeme hawawezi kuwa hawajui chochote, ila wewe na huyo mwenzako ndio mnaojua kila kitu. Uwe unatuliza kichwa unapojadili mambo, usijifanye wewe ni mbabe hata kama elimu hiyo ndogo uliyonayo ni katika eneo hili la umeme. Eleza unachojua kwa ufasaha, hata wasiojua usidhani hawawezi kuelewa kama wewe ni mtaalam katika eneo hilo.

Hakuna sehemu yoyote niliyoandika juu ya mjadala huu kuonyesha kwamba 'solar' ni cheaper kuliko vyanzo vyote vya umeme, yet, hilo ndilo wewe na huyo mwenzako mnalong'ang'ania kana kwamba nyinyi ndio wavumbuzi wa vyanzo hivi vya umeme. Sehemu zote nimeeleza, kwa uhakika kabisa, kwamba 'solar' haiwezi kuwa ghali zaidi ya umeme wa mafuta, lakini hujajibu lolote kuhusu hilo. Nimekazia hapa, kwamba 'solar' siyo ndio kitakuwa ni chanzo pekee cha kutegemewa, bali ni sehemu ya 'energy mix' ikiwa ni pamoja na vyanzo vingine, hilo nalo hulioni, unakazia tu kujionyesha wewe ni mjuaji. Sasa unalalamika nifanye nini.
Hata kama solar haijaenea zaidi na pengine bado inazo gharama kubwa kulinganisha na baadhi ya vyanzo vingine, wewe ni nani kuhitimisha kuwa 'technology' hii bado ni mpya na kesho au keshokutwa itakuwa nafuu, pengine zaidi ya hizo nyingine zilizopo sasa?

Mwisho. Wewe ni mgeni humu. Acha kuparamia watu usiowajua.

Hapa wala kwingine kokote humu JF sijaona "hoja iliyo hai" toka kwako.
 
Tulia uandike ya maana, bhasi! Ukishupalia kushinda kwa matusi unaishia kuandika haya yasiyotusaidia ktk mjadala huu. Tueleweshe unachotetea ni nini? Mjadala ulipofikia, tunasema Tanesco kujiiingiza kwenye haya mambo ya Solar ni simply upuuzi. Tunazo energy sources za maana, za gharama nafuu na matokeo makubwa kuliko solar. Solar ni upigaji na kutafutia makampuni ya nje dili za ndani. Wewe Kalamu1 unasemaje?? Usiseme uko JF miaka mingi! Haitusaidii kugundua kama wewe ni mtu wa kutumainiwa. Pia usituambie eti Kenya na Uganda wanayo solar, ni hoja mfu.
Naomba nisaidie maoni yangu kabla hamjatiaba ngeu. Kuna sehemu na sehemu zenye maporomoko mazuri (Kitulo, Soni), zingine zina geothermal nzuri (Kondoa, Mto wa Mbu) au solar nzuri (Ndoleleji, Eyasi). Hizi zinatosha kwa mahitaji mahalia, yaani local demand (kama vile SIDO au shule na Mission za Mapadri), hazitoshi big scale operation kwa mfano kuhudumia mkoa mzima. Developers wa hizi "minihydro" mara nyingi ni wahusika wenyewe lakini TANESCO haiwezi kuzikwepa kwa vile kisheria kazi yake ni kusimamia mauzo na matumuzu ya uneme salama. Inapofika kupanga bei, TANESCO wana jinsi ya kuzioanisha: mteja anunue TANESCO kama yuko down au aiuzie TANESCO wakizalisha, kwa kutumia tariff moja.
 
Mwisho. Wewe ni mgeni humu. Acha kuparamia watu usiowajua.

Hapa wala kwingine kokote humu JF sijaona "hoja iliyo hai" toka kwako.
Hapa JF hatukuja kujuana. Huenda tukijuana hutaweza hata kubishana na mimi.
Nilikuita ka-mtu ka hovyo kwa maadiko yako kwenye msg # 226. uliandika yafuatayo bila hata kusoma mjadala ulikofika. Ufahamu gani ulionao ambao unaweza kusema hapa. Ktk message yako ulichokuwa unajipa ufahamu ni kueleza aina ya energy. Mara useme makubaliano ya kimataifa, mara useme teknolojia na bhla bhla nyiiingi!:
Soma bhla! Bhla zako hizo

Kalamu1 wrote:
"Kama kawaida ya waTanzania, unazungukazunguka tu huelezi kitu kikaeleweka vizuri na wasomaji. Sababu kuu ni kwamba hujui chochote juu ya teknolojia hiyo.

Unachanganya mambo ambayo yote huyajui. Unaufahamu wowote kuhusu umeme unaotokana na nuklia? Unachanganya makubaliano ya kimikataba kati ya Tanesco na makampuni na kuviweka fungu moja na teknolojia za kufua umeme..., jambo linaloonyesha wazi hakuna unachojua kuhusu mada uliyowasilisha hapa.

Duniani kote hakuna nchi inayotegemea njia moja pekee ya kufua umeme. Solar, upepo, nuklia, maji, makaa ya mawe, n.k., zote ni njia zinazotumika kufua umeme, na mara nyingi hutumiwa kwa mchanganyo ili kutotegemea njia moja tu.

Kama Tanesco wanaingia mikataba mibovu na makampuni yanayozalisha umeme kwa kutumia jua, hiyo haina maana kwamba njia hiyo ya solar haiwezi kutegemewa kuzalisha umeme nafuu kuliko njia zingine.

Mada yako haielezi chochote mbali ya kuchanganya mambo na kukufanya uonekane huna ufahamu wowote juu ya mambo uliyoandika juu yake."
 
Hapa JF hatukuja kujuana. Huenda tukijuana hutaweza hata kubishana na mimi.
Unapoandika chochote hapa JF, unajitambulisha wewe ni mtu wa aina gani. Kama hilo hulijui wewe ni kilaza.
Nilikuita ka-mtu ka hovyo kwa maadiko yako kwenye msg # 226. uliandika yafuatayo bila hata kusoma mjadala ulikofika. Ufahamu gani ulionao ambao unaweza kusema hapa. Ktk message yako ulichokuwa unajipa ufahamu ni kueleza aina ya energy. Mara useme makubaliano ya kimataifa, mara useme teknolojia na bhla bhla nyiiingi!:
Unazidi kujidhalilisha hapa kwa ujuha mkubwa unaokusumbua. In fact unazidi kujionyesha jinsi gani usivyokuwa na kitu kichwani. Aya yote hii uliyoandika hapo juu haina maana yoyote.

Kwa mfano ni mahali gani nilipoeleza aina za 'energy' ? Kuzitaja aina sio kuzieleza, au hilo hulijui?

Angalia, hata ku'paraphrase' kwa uhakika alichoandika mtu hujui! Nionyeshe katika maandiko yangu nilipotumia maneno "makubaliano ya kimataifa"... hivi wewe unayo akili timamu kweli? Ni wapi niliandika "teknolojia na blhla bhla". Kumbe wewe ni ka'graduate' ka jana tu kama kweli umefikia elimu ya chuo kikuu?

Kwa kunakili mstari wangu huo wa kwanza:
"Kama kawaida ya waTanzania, unazungukazunguka tu huelezi kitu kikaeleweka vizuri na wasomaji. Sababu kuu ni kwamba hujui chochote juu ya teknolojia hiyo.
Umedhihirisha kikamilifu niliyokusudia katika ku-'criticize' andiko hilo nililokuwa nikilijibu, na kwa bahati mbaya na wewe mwenye ukihiyo zaidi ukajitokeza kutetea ubovu niliokuwa nikiukataa. Wewe ni 'worse' kuliko huyo niliyemwandikia hayo maneno yaliyokutoa pangoni kwako.
Nimalize kwa kusema kwamba mkuu Robinson crusoe, kama unajiona unaufahamu wa eneo hilo la uzalishaji umeme, basi elimu yako ni ya kukariri, ni ya vitabuni na kushindia mitihani basi, kwa sababu huna uwezo wa kueleza kwa wengine unachokijua wewe na wao wakakuelewa.
Chukua huo kama ushauri na sio lazima iwe ni ku'disparage' aina ya elimu uliyonayo.

Nisiondoke bila ya kukueleza hili:
Umechagua bandiko la maandishi yangu ya mwanzo katika mjadala huu kuhalalisha majibu yako ya kipuuzi uliyoweka baada ya kulisoma andiko hilo.
Basi ngoja nikufahamishe kwamba hadi hapa tulipofikia hakuna neno ninaloweza kuondoa katika 'critic' yangu juu ya mada iliyowasilishwa.
Kama kuna kitu ninachoweza kupunguza, labda ni 'tone' ya uwasilishaji tu, otherwise sina cha kupunguza kwenye andiko hilo.
Kutokana na majibishano yetu hapa, ni wazi kwamba wewe ni mbovu zaidi ya huyo aliyewasilisha mada yake.
 
Unapoandika chochote hapa JF, unajitambulisha wewe ni mtu wa aina gani. Kama hilo hulijui wewe ni kilaza.

Unazidi kujidhalilisha hapa kwa ujuha mkubwa unaokusumbua. In fact unazidi kujionyesha jinsi gani usivyokuwa na kitu kichwani. Aya yote hii uliyoandika hapo juu haina maana yoyote.

Kwa mfano ni mahali gani nilipoeleza aina za 'energy' ? Kuzitaja aina sio kuzieleza, au hilo hulijui?

Angalia, hata ku'paraphrase' kwa uhakika alichoandika mtu hujui! Nionyeshe katika maandiko yangu nilipotumia maneno "makubaliano ya kimataifa"... hivi wewe unayo akili timamu kweli? Ni wapi niliandika "teknolojia na blhla bhla". Kumbe wewe ni ka'graduate' ka jana tu kama kweli umefikia elimu ya chuo kikuu?

Kwa kunakili mstari wangu huo wa kwanza:

Umedhihirisha kikamilifu niliyokusudia katika ku-'criticize' andiko hilo nililokuwa nikilijibu, na kwa bahati mbaya na wewe mwenye ukihiyo zaidi ukajitokeza kutetea ubovu niliokuwa nikiukataa. Wewe ni 'worse' kuliko huyo niliyemwandikia hayo maneno yaliyokutoa pangoni kwako.
Nimalize kwa kusema kwamba mkuu Robinson crusoe, kama unajiona unaufahamu wa eneo hilo la uzalishaji umeme, basi elimu yako ni ya kukariri, ni ya vitabuni na kushindia mitihani basi, kwa sababu huna uwezo wa kueleza kwa wengine unachokijua wewe na wao wakakuelewa.
Chukua huo kama ushauri na sio lazima iwe ni ku'disparage' aina ya elimu uliyonayo.

Nisiondoke bila ya kukueleza hili:
Umechagua bandiko la maandishi yangu ya mwanzo katika mjadala huu kuhalalisha majibu yako ya kipuuzi uliyoweka baada ya kulisoma andiko hilo.
Basi ngoja nikufahamishe kwamba hadi hapa tulipofikia hakuna neno ninaloweza kuondoa katika 'critic' yangu juu ya mada iliyowasilishwa.
Kama kuna kitu ninachoweza kupunguza, labda ni 'tone' ya uwasilishaji tu, otherwise sina cha kupunguza kwenye andiko hilo.
Kutokana na majibishano yetu hapa, ni wazi kwamba wewe ni mbovu zaidi ya huyo aliyewasilisha mada yake.
Ninyi wote munatupotezea muda tu! Mwenzako na wewe hatuoni mjadala wa kuelekeza wachangiaji. Ni kama unataka ushinde kwa matusi, mwenzako naye anataka akuweke chini kwa matusi. Tujifunze nini kwenu? sifuri!

Nimerudi kwenye hiyo msg #226. Kubali kwamba nawe uliingia kwa mbwembwe bila sababu utadhani wote ni wanafaunzi wako. Haya mambo ya mixed energy, alternative energy, renewable energy, carbon neutral, carbon footprints, etc. siyo elimu ya watu wa aina moja na siyo taaluma ya TANESCO tu! Tunayafahamu, huenda kuliko hata watu wa TANESCO. Tunapowakosoa, tunayo halali. Wewe ulipoandika ukaanza kwamba; kama kawaida ya watanzania ..... wewe ni nani? Siyo mtanzania? Au wewe ni Mtanzania exceptionally gifted? Kuna vijineno vingine tunavitumia lakini havina maana kabisa! Najua ulitaka kujivuna kwamba wewe ni zaidi, so what?

Elezea unachojua nasi tutajibu kwa kile tunachofahamu. FINITO!
 
Ninyi wote munatupotezea muda tu! Mwenzako na wewe hatuoni mjadala wa kuelekeza wachangiaji. Ni kama unataka ushinde kwa matusi, mwenzako naye anataka akuweke chini kwa matusi. Tujifunze nini kwenu? sifuri!
Ungefuatilia "matusi" yalianza vipi ungejua na usingeandika mstari huu.
Nimerudi kwenye hiyo msg #226. Kubali kwamba nawe uliingia kwa mbwembwe bila sababu utadhani wote ni wanafaunzi wako. Haya mambo ya mixed energy, alternative energy, renewable energy, carbon neutral, carbon footprints, etc. siyo elimu ya watu wa aina moja na siyo taaluma ya TANESCO tu! Tunayafahamu, huenda kuliko hata watu wa TANESCO. Tunapowakosoa, tunayo halali. Wewe ulipoandika ukaanza kwamba; kama kawaida ya watanzania ..... wewe ni nani? Siyo mtanzania? Au wewe ni Mtanzania exceptionally gifted? Kuna vijineno vingine tunavitumia lakini havina maana kabisa! Najua ulitaka kujivuna kwamba wewe ni zaidi, so what?

Elezea unachojua nasi tutajibu kwa kile tunachofahamu. FINITO!
Mada imeanzishwa.
Umesoma kwenye mada hiyo ni namna gani "solar energy" haistahili kuwa sehemu ya mchango wa umeme unaotakiwa kuwepo na Tanesco? Hili ni swali kwako.

Mleta mada alikuwa na wajibu wa kueleza kwa vipi 'solar' haifai katika mchanganyiko huo, na wasomaji wangejiridhisha na maelezo hayo au kuyakataa baada ya kusoma taarifa hiyo. Hata wasiokuwa na ufahamu juu ya jambo hilo nao wangefaidika juu yake. Sikuona kuwa mda ilikidhi takwa hilo.
Haikuwa kazi yangu kueleza aliyotaka kueleza mleta mada, kwa maana hata mimi kiu yangu ya kujua haikuridhishwa ndio maana nikalalamika. Sikujitangaza mahali popote kwamba mimi ni mtaalam wa eneo hilo, lakini ninao ufahamu wa kawaida juu ya mambo haya.

Mada inachanganya "ubovu wa mikataba" wanayoingia Tanesco na mashirika ya kufua umeme, na hapo hapo inahitimisha bila maelezo ya kina kuonyesha kwamba 'solar' haifai kwa vyovyote vile kwa kuwa ni aghali zaidi ya vyanzo vingine vyote vya umeme, jambo ambalo sio kweli. Solar haiwezi kuwa gjhali zaidi ya umeme uliozalishwa na mafuta mazito - hii ni 'fact', na nimeomba nipewe ushahidi juu ya hilo, bado sijaupata.

Jambo la muhimu hapa ni kama nilivyoeleza mwanzo: mada nzito kama hii inapoletwa kwa wasomaji, mleta mada anao wajibu wa kueleza anachonuia kueleza ili wanaosoma mada waelewe hata kama sio wataalamu wa eneo hilo. Mada ilivyowasilishwa haina sifa ya namna hiyo.
Hili tatizo la kujieleza kwa waTanzania wengi imekuwa ni kawaida kiasi kwamba sasa imekuwa kama ni mazoea na watu wanaridhika na uwasilishaji usiokidhi mahitaji.

Nabaki na msimamo ule ule niliokuwa nao mwanzo baada ya kusoma mada yenyewe.
 
Ungefuatilia "matusi" yalianza vipi ungejua na usingeandika mstari huu.

Mada imeanzishwa.
Umesoma kwenye mada hiyo ni namna gani "solar energy" haistahili kuwa sehemu ya mchango wa umeme unaotakiwa kuwepo na Tanesco? Hili ni swali kwako.

Mleta mada alikuwa na wajibu wa kueleza kwa vipi 'solar' haifai katika mchanganyiko huo, na wasomaji wangejiridhisha na maelezo hayo au kuyakataa baada ya kusoma taarifa hiyo. Hata wasiokuwa na ufahamu juu ya jambo hilo nao wangefaidika juu yake. Sikuona kuwa mda ilikidhi takwa hilo.
Haikuwa kazi yangu kueleza aliyotaka kueleza mleta mada, kwa maana hata mimi kiu yangu ya kujua haikuridhishwa ndio maana nikalalamika. Sikujitangaza mahali popote kwamba mimi ni mtaalam wa eneo hilo, lakini ninao ufahamu wa kawaida juu ya mambo haya.

Mada inachanganya "ubovu wa mikataba" wanayoingia Tanesco na mashirika ya kufua umeme, na hapo hapo inahitimisha bila maelezo ya kina kuonyesha kwamba 'solar' haifai kwa vyovyote vile kwa kuwa ni aghali zaidi ya vyanzo vingine vyote vya umeme, jambo ambalo sio kweli. Solar haiwezi kuwa gjhali zaidi ya umeme uliozalishwa na mafuta mazito - hii ni 'fact', na nimeomba nipewe ushahidi juu ya hilo, bado sijaupata.

Jambo la muhimu hapa ni kama nilivyoeleza mwanzo: mada nzito kama hii inapoletwa kwa wasomaji, mleta mada anao wajibu wa kueleza anachonuia kueleza ili wanaosoma mada waelewe hata kama sio wataalamu wa eneo hilo. Mada ilivyowasilishwa haina sifa ya namna hiyo.
Hili tatizo la kujieleza kwa waTanzania wengi imekuwa ni kawaida kiasi kwamba sasa imekuwa kama ni mazoea na watu wanaridhika na uwasilishaji usiokidhi mahitaji.

Nabaki na msimamo ule ule niliokuwa nao mwanzo baada ya kusoma mada yenyewe.
Nikisoma maelezo yako ni kama ulitaka undani wa maelezo utadhani zile cabinet papers za serikali, yaani hata mbumbumbu aelewe. Alivyoandika mleta mada ndo kawaida ya mijadala ya JF na ndiyo maana tunachangia tunapoelewa. Siyo kila kitu uchangie. Nimesoma tena na tena sioni mapungufu unayoyaleta kwenye mjadala. Anachoeleza ni gharama kubwa ya Solar na mfano wa solar farm ya Uganda. Nini zaidi kiandikwe JF?

Michango iliyofuata inaonesha kabisa ufahamu wa watu, na wanatoa uzoefu mbalimbali. Ni wachache sana ktk mjadala huu wanaoamini kwamba solar energy ni changuo sahihi kwa TZ iwe ni sehemu ya energy mix. Nahisi kuna watu wa Tanesco hapa wanajaribu kuhalalisha maamuzi yao ya kizembe. Akili nzuri haiwezi kuchagua solar, teknolojia ambayo bado iko kwenye development duniani. Kuna mashabiki wa ufisadi huu wanajidai eti solar imeshafanikiwa, wapi? Mtu anatoa mifano ya Spain na kwingine ambako hawajawahi kuwa na upungufu wa umeme. Sisi bado! Kinachotuingiza kwenye solar ni ufisadi tu! Badala ya kuangalia mahitaji yetu na uwezo wetu, tunashawishiwa na makampuni ya kibiashara eti solar ni nzuri. Wickedness!
 
Nikisoma maelezo yako ni kama ulitaka undani wa maelezo utadhani zile cabinet papers za serikali, yaani hata mbumbumbu aelewe. Alivyoandika mleta mada ndo kawaida ya mijadala ya JF na ndiyo maana tunachangia tunapoelewa.
Niliwahi kuwa na mjadala na wewe huko siku za nyuma sana hapa JF, baada ya kuniambia nikupe 'list' ya vitabu ninavyosoma. Baada ya mjadala ule nilikuelewa vizuri.
Sasa ngoja tushughulike na huu.
Mstari huo ulioandika hapo juu: kama hayo ndiyo mategemeo yako juu ya mijadala inayoletwa hapa JF, basi siyo mategemeo yangu, ndiyo maana nikaandika niliyoandika hapo.
Wewe umechangia mjadala huo kwa "kuelewa" nini, mbona hujadili hayo uliyoelewa!
Siyo kila kitu uchangie
Umeona wapi nimechangia kila kitu.? Kwa nini wewe uwe ndiye wa kunichagulia ninachotaka kuchangia?
Nimesoma tena na tena sioni mapungufu unayoyaleta kwenye mjadala. Anachoeleza ni gharama kubwa ya Solar na mfano wa solar farm ya Uganda. Nini zaidi kiandikwe JF?
Wewe kutoona mapungufu hakukufanyi wewe ndiwe uwe kipimo changu ninachotakiwa kukifuata. Kama hutetei tu kwa sababu ya kutaka kutetea tu, (historia yako humu JF inafahamika vizuri ) ; ni dhahiri "kipimo" unachokifuata wewe ni kipimo hafifu.

Hiyo gharama kubwa ya solar farm, kwa mfano wa Uganda ulliusoma kwenye hiyo mada iliyowasilishwa, au umeuokoteza sehemu nyingine? Kwa hiyo, kwa mfano huo huoni udhaifu uliomo kwenye hiyo mada?
Kuna mashabiki wa ufisadi huu wanajidai eti solar imeshafanikiwa, wapi? Mtu anatoa mifano ya Spain na kwingine ambako hawajawahi kuwa na upungufu wa umeme. Sisi bado! Kinachotuingiza kwenye solar ni ufisadi tu! Badala ya kuangalia mahitaji yetu na uwezo wetu, tunashawishiwa na makampuni ya kibiashara eti solar ni nzuri. Wickedness!
Haya yote yangeelezwa vizuri na mleta mada, na kuonyesha upungufu unaohusu umeme wa solar pasingekuwepo na majadiliano haya. Yote haya yanatokana na kutojitosheleza kwa mada iliyoletwa na kuwasilishwa, na ambayo wewe hapa unaitetea kwa sababu za ubishi tu!

Hakuna sehemu yoyote niliyotetea Tanesco waanze kuzalisha umeme wa solar; jambo la msingi ni mada ambayo haikueleza chochote kuhusu ubaya wa solar katika mchanganyo wa upatikanaji wa nishati yetu. Ndiyo maana hata nikaandika kuhusu ubovu wa mikataba wanayoingia Tanesco, hata kama vyanzo vya nishati ni hivyo tunavyovikubali. Mleta mada kachanganya tu ndimu na malimao, na wewe unakubali umeelewa vizuri alichoandika.

Usitake kushusha hadhi ya JF kwa sababu tu umeamua wewe ndio uwe kipimo cha ni kipi kipo sawa katika mambo yanayowasilishwa humu.
 
Niliwahi kuwa na mjadala na wewe huko siku za nyuma sana hapa JF, baada ya kuniambia nikupe 'list' ya vitabu ninavyosoma. Baada ya mjadala ule nilikuelewa vizuri.
Sasa ngoja tushughulike na huu.
Mstari huo ulioandika hapo juu: kama hayo ndiyo mategemeo yako juu ya mijadala inayoletwa hapa JF, basi siyo mategemeo yangu, ndiyo maana nikaandika niliyoandika hapo.
Wewe umechangia mjadala huo kwa "kuelewa" nini, mbona hujadili hayo uliyoelewa!

Umeona wapi nimechangia kila kitu.? Kwa nini wewe uwe ndiye wa kunichagulia ninachotaka kuchangia?

Wewe kutoona mapungufu hakukufanyi wewe ndiwe uwe kipimo changu ninachotakiwa kukifuata. Kama hutetei tu kwa sababu ya kutaka kutetea tu, (historia yako humu JF inafahamika vizuri ) ; ni dhahiri "kipimo" unachokifuata wewe ni kipimo hafifu.

Hiyo gharama kubwa ya solar farm, kwa mfano wa Uganda ulliusoma kwenye hiyo mada iliyowasilishwa, au umeuokoteza sehemu nyingine? Kwa hiyo, kwa mfano huo huoni udhaifu uliomo kwenye hiyo mada?

Haya yote yangeelezwa vizuri na mleta mada, na kuonyesha upungufu unaohusu umeme wa solar pasingekuwepo na majadiliano haya. Yote haya yanatokana na kutojitosheleza kwa mada iliyoletwa na kuwasilishwa, na ambayo wewe hapa unaitetea kwa sababu za ubishi tu!

Hakuna sehemu yoyote niliyotetea Tanesco waanze kuzalisha umeme wa solar; jambo la msingi ni mada ambayo haikueleza chochote kuhusu ubaya wa solar katika mchanganyo wa upatikanaji wa nishati yetu. Ndiyo maana hata nikaandika kuhusu ubovu wa mikataba wanayoingia Tanesco, hata kama vyanzo vya nishati ni hivyo tunavyovikubali. Mleta mada kachanganya tu ndimu na malimao, na wewe unakubali umeelewa vizuri alichoandika.

Usitake kushusha hadhi ya JF kwa sababu tu umeamua wewe ndio uwe kipimo cha ni kipi kipo sawa katika mambo yanayowasilishwa humu.
Hii ni mitandao boss! Kwenye mitandao tunakwenda kwa netiquette. Kama unazijua rules za netiquette, usingeomba uletewe aya ndefu na maelezo unayoyataja. Brevity ni muhimu sana! Ukitaka hayo unayoyataja, soma vitabu, soma machapisho ya kisayansi, nk. sitegemei utuletee kurasa ndeefu! Ili iweje?
Btw., ulinijibu nini juu ya vitabu unavyosoma? Huwa sitaki mtu anijibu anasoma ilani ya chama. Sorry!
 
Hii ni mitandao boss! Kwenye mitandao tunakwenda kwa netiquette. Kama unazijua rules za netiquette, usingeomba uletewe aya ndefu na maelezo unayoyataja. Brevity ni muhimu sana! Ukitaka hayo unayoyataja, soma vitabu, soma machapisho ya kisayansi, nk. sitegemei utuletee kurasa ndeefu! Ili iweje?
Btw., unijibu nini juu ya vitabu unavyosoma? Huwa sitaki mtu anijibu anasoma ilani ya chama. Sorry!
Utatumia kila aina ya visingizio ku-justify' ineptitude' isiyokubalika mahali popote pale.
Hakuna mahali popote pale 'mediocrity' inapokubalika, iwe kwenye mitandao au kwingineko. Usipeleke uozo huko.

"Brevity" haina maana ya uozo wa habari inayowasilishwa.

Kuhusu vitabu nilikupa funzo hata hukuwa na nguvu za kurudi na kujibishana nami tena. Tafuta hiyo habari imo humu JF.

Baada ya majibishano yale, sikuwa na hamu tena ya kukufuatilia, kwani niliona mwelekeo wako ulivyokuwa potofu.
 
Hakuna mahali popote pale 'mediocrity' inapokubalika, iwe kwenye mitandao au kwingineko. Usipeleke uozo huko.

"Brevity" haina maana ya uozo wa habari inayowasilishwa.

Kuhusu vitabu nilikupa funzo hata hukuwa na nguvu za kurudi na kujibishana nami tena. Tafuta hiyo habari imo humu JF.

Baada ya majibishano yale, sikuwa na hamu tena ya kukufuatilia, kwani niliona mwelekeo wako ulivyokuwa potofu.
Hata unavyopanga manenona sentensi zako huoneshi kama ni mtu unayeweza kuelewa maelezo ya wengine. Au hata mwenyewe huwezi kuyaandika yakaeleweka. Hata wakiandika kitabu hutaelewa. Mistakes are not always the result of someone's ineptitude. You needed to critically assess your personal weaknesses, what we confirm to be alio infirmitatibus before using corrosive language over others. Then, be careful, self confidence doesn’t confirm your understanding Kuna watu confidence debe kama wewe kumbe,… infirma cerebrum.

Halafu usipende kujisifia saaana! Inakunyima nafasi ya kujifunza maana hapo ulipo hujafika mwisho wa ufahamu. Utaishia kuzozana na watu. This is a new year. Like always wish not making it mali anno just, for the sake of winning over JF ideas. C'est compris ?
 
Mim siamin umeme wa solar Ni nafuu bcs yale batteries za kuhifadhi huo umeme Ni Bei ghali sana na yanawahi kupoteza uwezo, unajua batteries za 1800,000 miaka mitatu za kutupa
 
Mistakes are not always the result of someone's ineptitude.
What "mistakes" are you writing about?
You needed to critically assess your personal weaknesses, what we confirm to be alio infirmitatibus before using corrosive language over others
Eeeenh, hapa ndio umeonyesha umahiri, au sio?

Why should I 'critically assess my weaknesses' as a result of 'ineptitude' I see in what I have read? It seems you have no clue of what you're writing about.
Hata unavyopanga manenona sentensi zako huoneshi kama ni mtu unayeweza kuelewa maelezo ya wengine. Au hata mwenyewe huwezi kuyaandika yakaeleweka. Hata wakiandika kitabu hutaelewa. Mistakes are not always the result of someone's ineptitude. You needed to critically assess your personal weaknesses, what we confirm to be alio infirmitatibus before using corrosive language over others. Then, be careful, self confidence doesn’t confirm your understanding Kuna watu confidence debe kama wewe kumbe,… infirma cerebrum.

Halafu usipende kujisifia saaana! Inakunyima nafasi ya kujifunza maana hapo ulipo hujafika mwisho wa ufahamu. Utaishia kuzozana na watu. This is a new year. Like always wish not making it mali anno just, for the sake of winning over JF ideas. C'est compris ?
Ki ujumla, kwa haya uliyoandika hapa, ni wazi huna la ziada.
Wewe, kama huyo 'Robinson crosoe' mliorukia mjadala huu kulaumu nilichoandika, wote mme'prove' kuwa 'inadequate' kwa kazi hiyo. In fact, niliposoma tu lile bandiko lako la kwanza, nikajua nitegemee nini kwenye majibishano na wewe.

I have given you enough leeway, kama nilivyowahi kukupa huko siku za nyuma. Mwisho, ni the same disappointment kama ile niliyopata huko nyuma.

The only positive aspect on your part, you have at least not fallen into the same trap of using foul language in a mistaken belief it would advance your arguments.
Halafu usipende kujisifia saaana! Inakunyima nafasi ya kujifunza maana hapo ulipo hujafika mwisho wa ufahamu.
I have no regrets on stating what I consider to be fact. Take it whichever way you like, that changes nothing.

Ukija moto, kama alivyokuja mkuu 'Roninson', nami nitakuwa moto. Ukija tujadili vizuri, tutajadili, sina tatizo kabisa na haya mawili.

Kama unadhani najisifia, hilo ni shauri lako na uelewa wako.

Unataka nikuorodheshee tena vitabu nitakavyosoma mwaka huu? Just kidding! Enjoy your year, but avoid picking up fights you have no clue abaout.
 
Back
Top Bottom