TANESCO andaeni mkutano wa wazi na wananchi, hata kama ni pale Uwanja wa Mkapa, ili kuzungumza na kutatua tofauti zilizopo

TANESCO andaeni mkutano wa wazi na wananchi, hata kama ni pale Uwanja wa Mkapa, ili kuzungumza na kutatua tofauti zilizopo

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
TANESCO inapaswa kuandaa mkutano wa wazi na wananchi, hata kama ni pale Uwanja wa Taifa, ili kuzungumza na kutatua tofauti zilizopo na Wananchi ambao ndio wateja wenu. Matamko mnayotoa mara nyingi hayajibu maswali kikamilifu, na inawezekana tunawalaumu kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wenu.

Mkutano huo utasaidia kuleta uwazi na kuelewa changamoto pande zote.
1733316431315.png
 
TANESCO inapaswa kuandaa mkutano wa wazi na wananchi, hata kama ni pale Uwanja wa Taifa, ili kuzungumza na kutatua tofauti zilizopo na Wananchi ambao ndio wateja wenu. Matamko mnayotoa mara nyingi hayajibu maswali kikamilifu, na inawezekana tunawalaumu kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wenu.
Wakutanishwe na watumiaji wa karabai wa miaka ya 60, 70 wawapashe jinsi karabai zilikuwa efficient kuliko wao
 
Wakutanishwe na watumiaji wa karabai wa miaka ya 60, 70 wawapashe jinsi karabai zilikuwa efficient kuliko wao
Nadhani kuna kuna ulazima wakufanya hivyo ili wajipime kama wanatshea ama la!
 
TANESCO wanajitahidi sana walau tunaona juhudi zao hivi ushawahi jiuliza kuhusu idara ya maji?
 
TANESCO wanajitahidi sana walau tunaona juhudi zao hivi ushawahi jiuliza kuhusu idara ya maji?
Idara ya maji tuwaweke kiporo, leo tuwaite hawa wanao Tunaangazia Maisha yetu
 
Back
Top Bottom