gango
Member
- Feb 24, 2010
- 32
- 6
Ama kweli leo nimeamini TANESCO hamuna utani na mtu, yaan mpira ulipo kwisha tuuu mambo yote KWISHINEI
hivi kwanini msingekata baada ya Goli tu kuingia...?????
au kipindi cha pili kilipoanza tuuuu???
any way big up TANESCO we love u soooo much hata mwakani mfanye hivyo tena na kwenye sherehe za uhuru kama kawa!!!
alafu mi naona hata siku akiwapo JK mkate tuuu mumuonyeshe kuwa nyie no ALPHA NA UMEGA....
TANESCO OYEEEEEEEEEE
hivi kwanini msingekata baada ya Goli tu kuingia...?????
au kipindi cha pili kilipoanza tuuuu???
any way big up TANESCO we love u soooo much hata mwakani mfanye hivyo tena na kwenye sherehe za uhuru kama kawa!!!
alafu mi naona hata siku akiwapo JK mkate tuuu mumuonyeshe kuwa nyie no ALPHA NA UMEGA....
TANESCO OYEEEEEEEEEE