TANESCO board split on MD Rashidi's fate

TANESCO board split on MD Rashidi's fate

Si tu lazima achoke. Anaweza akapita karibu na pwani na akaona akina Shaggy wana shoot video na zile totoz za Kilimanjaro Ze bia. Hapo kunakuwa na mfadhaiko na uchovu kwa papo.


Hey jamani muheshimuni chairman wenu jamani tartibuuu
 
Wanajamvi,
Hata kama Rashid ni the best CEO, lakini tukubali umri wake umeshamtupa ni vema akapumzika wakaingia watu wapya.

Ni ajabu sana watu wanalalamika kuwa wazee wapumzike (hata JK kasema) lakini baadhi ya watu hapa wanaotaka wazee waondoke ndio wako mstari wa mbele kumtaka Rashid arudi tena

Maswali machache:

1. Je rashid alioomba kazi ile

2. Je alifanya usaili- maana yeye publicly alisema hana haja na hiyo kazi.


Ukiona mtu anmtetea Rashid lazima kuna walakin; yawezekana hamfahamu vizuri Dr Rashid au ana chembe chembe za ufisadi, au ni ndugu yake wa karibu, au anafaidika kimaslahi kwa Rashid kuwa pale au ni Muislamu anayehusudu udini- maana jamaa ndo kiboko ya udini

Bahati nzuri namfahamu vizuri nilliwahi kufanya naye kazi ACB, hana sifa hizo anazotaka kutuamininisha Zitto. He is just a normal CEO- hana la ziada.

Hao ndio wale ambao rais akitembelea sko la Tandale, wanasema hatujaona rais kama huyu hakika ni mchapakazi, haijawahi kutokea, ingawa hakuna tija yoyote inayopatikana kutokana na ziara hiyo.

Dr Rashid kupendwa na wafanyakazi wa chini kumesaidia kuboresha tija kwenye shirika hilo? kwa kiwango gani. Tija yetu sisi wananchi ni kuona umeme haukatiki bila sababu za msingi, rushwa inatoweka TANESC, na wananchi wengi wanapata huduma za umeme kwa ufanisi zaidi
 
Kibs Umemwona Chairman wako akibembea kule Jamaica....."angechoka" ghafla ingekuwaje pale LOL
Sio rahisi kuchoka katika bembea.... nzuri zaidi mama wa kwanza alikuwa karibu yake... 😀 😀
 
Jamani, KULIKONI kama yalivyo magazeti mengine hapa Tanzania lina mapungufu yake. Lakini pia lina mema yake. Lazima tuseme ukweli kuwa kwenye hii habari yao wamemnukuu Zitto extensively. Nimehesabu sasa hivi gazeti hilo limetoa zaidi ya paragraph 6 kueleza "hoja" kama sio "Vioja" vilivyojengwa na Zitto kumtetea (kumbeba) Rashidi. Zifuatazo ni direct quotes kutoka kwa Zitto zilizo andikwa na gazeti hilo...


"Umpende usimpende Rashidi, ni one of the best CEOs of our Parastatals (mmoja wa viongozi bora zaidi wa mashirika yetu ya Umma)," amesema mbunge huyo machachari kwenye mjadala mkali unaoendelea kuhusu sakata la Rashidi kupitia kwenye tovuti ya www.jamiiforums.com.

Zitto alipuuza kauli hizo akisema: "Nimesema hili (la rada) ni suala la mahakamani na tushinikize wanaotajwa wapelekwe mahakamani na mahakama ndio pekee zenye mamlaka ya kusafisha mtu au kuhukumu.

"Sijaona hoja hii (ya rada) imeathiri vipi kazi za huyu bwana pale Tanesco. Kwa maoni yangu, narudia maoni yangu na wala silazimishi mtu yeyote akubaliane nami, Rashidi ni mmoja wa maCEO bora kabisa katika Mashirika yetu ya Umma Tanzania.

"Kinachonipa tatizo ni jinsi watu walinvyoline up (jipanga) kuchukua nafasi pale Tanesco ili kufurahisha wanasiasa. Nitawapinga hao kwa nguvu zangu zote,"alisema mbunge huyo na kusisitiza suala hilo bado halijathibitishwa na Mahakama

Talk of shooting one's self in the mouth!!
Pamoja na glaring contradictions katika misimamo hiyo, msimao wa Muheshimiwa una mapungufu, tena mengi yanayohitaji majibu.
Vil vile katika mada hii ni vyema Muheshiwiwa akaubali ukweli kuwa he is rubbing the public up the wrong way.
Hata hivyo kukosea si kosa , kosa ni kurudia kosa.
 
Ndugu zangu mnauhakika hicho walichonukuu ni kweli zitto ameongea yeye ? Tunaanza kuingilia privacy za watu sasa , inabidi kulikoni waje kusema kama kweli yule mwanachama ni zitto kwa sababu yeye anaweza kukataa siku moja kwa matamshi haya , tumeona hata hotuba nyingi ambazo inasemekana yeye alizitoa kwa wananchi na watu wengine sio yeye mwenyewe anayekuja kuweka kwenye jf ni wengine wanakuja kuweka je tukisema huyu sio zitto tutakosea ? halafu tina nina wasiwasi na wewe kuna mtu anakusaidia kuandika Chunga sana mdogo wangu
 
Sioni tatizo lolote na habari hii. Jamii inapaswa kufahamu zaidi kuhusu utetezi unaofanywa na Zitto kwa dakta Idris. Msimamo wa Zitto ni sawa na yake ya wahariri wa gazeti la Mtanzania na bosi wao Rostam. Need we say more? Ukisikia nguvu ya ufisadi ndiyo hii. Namhurumia sana huyu mwanasiasa kijana.
 
Hivi, Zitto anaposema kuwa Rashidi ni one of the best CEOs wa Tanzania. Akatoa track record yake alipokuwa BoT na kumwagia sifa tele za "msimamo" wake wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa. Tena akatumia takwimu ambazo bila shaka amezipata kupitia cheo chake kama m'kiti wa kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma na kusema kuwa eti Rashidi ameweza kuboresha hali ya kipato ya Tanesco. Sifa zote hizi kede kede zimetolewa kukiwa na mjadala mkali juu ya Rashidi na hatma yake. Je, ni upotoshaji au uandishi uchwara au malice kusema kuwa Zitto ampigia debe Rashidi? Wote tumeshuhudia humu kwenye JF how Zitto went out of his way to shower lavish praise on Rashidi.

.

Na ndio umuhimu wa kuwa na watu kama Mh. zitto sehemu kama hizi kwasababu tusiokuwa na data na kutaka kuwahukumu watu kutokana na hisia then tunapewa ukweli wa mambo. Wabunge na wanasiasa wengi wana important information lakini hawataki wananchi tujue kwani wanazihifadhi ili waje wazitumie kwa manufaa yao binafsi hapo baadaye. Watu wengi tumetumia data tunazozipata hapa kuwasaidia wananchi wengi wasio kuwa na access ya hii huduma either kwasababu ni Ileterate au hawana uchumi. sasa kama hakuna mtu wa kutupa data za uhakika tukimbilie wapi, fikiria huu mjadala ukiletwa kwa wananchi tuamue tutabaki mbu mbuu kwasababu hatuna Data.

Kuhusu mwandishi inawezekana aliandika habari kwa kuipotisha kwa makusudi au ni kutokuwa na uwezo wa kuandika habari kwa kina. Ukiangalia maelezo muhim ambayo Zitto ameyatoa juu ya Idris na sifa zake mwandishi ameyaacha nje na pia na anaongeza mambo ya kuwa aliwahi kuitwa Mr. Downs hii connection yote ni kujaribu kuonyesha kuwa huyu anayemzungumzia ana agenda au deal chafu kuhusiana na madai yake ya kumpamba Dr. Idrisa.

Inasikitisha sana kuwa pamoja na kukuwa kwa demokrasia tanzania na kuheshimu mawazo ya watu, lakini bado watanzania tunazidi kutofautiana katika masuala ya msingi kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu. Kama tutapingana kwa hoja kama vile mimi nadhani idrisa hafai kwasababu moja mbili tatu, zote zimesimama, na mwingine akaja akasema mimi naona anafaa kwasababu moja mbili tatu hapo sawa. Lakini ukifuatilia vyombo vyetu vya habari utaona ni kuchanganyikiwa kwa hali ya juu mno. Maana hakuna direction ya mijadala ya tija, wapo wachache sana, Gazeti lenye hisa kubwa za wageni ndio linaonekana lipo angalau neutral magazeti ya sisi wenyeji yote yamechukua upande na kushambuliana kila kunavyokucha.
 
Hivi, Zitto anaposema kuwa Rashidi ni one of the best CEOs wa Tanzania. Akatoa track record yake alipokuwa BoT na kumwagia sifa tele za "msimamo" wake wa kukataa kuburuzwa na wanasiasa. Tena akatumia takwimu ambazo bila shaka amezipata kupitia cheo chake kama m'kiti wa kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma na kusema kuwa eti Rashidi ameweza kuboresha hali ya kipato ya Tanesco. Sifa zote hizi kede kede zimetolewa kukiwa na mjadala mkali juu ya Rashidi na hatma yake. Je, ni upotoshaji au uandishi uchwara au malice kusema kuwa Zitto ampigia debe Rashidi? Wote tumeshuhudia humu kwenye JF how Zitto went out of his way to shower lavish praise on Rashidi.

Kuhusu
gazeti la KULIKONI ku pick mjadala wa JF na kuandikia habari, nadhani ni jambo la kusifiwa na kuigwa kwani linathibitisha kuwa JK ni Home of Great Thinkers kweli na vile vile linasaidia kuleta umaarufu zaidi kwa JF na kusambaza mijadala ya humu ndani kwa umma wa Tanzania. Tukumbuke kuwa ni asilimia chache sana ya Watanzania wenye access ya Internet. Long live JF, magazeti muwe huru kusambaza mijadala ya JF ili Watanzania wote mijini na vijijini waweze kuchangia mawazo yao.

Well said Tina.
 
Tunaanza kuingilia privacy za watu sasa ,...... halafu tina nina wasiwasi na wewe kuna mtu anakusaidia kuandika Chunga sana mdogo wangu
Ha ha Shy hapo Hujaji-contradict?
 
Kibs Umemwona Chairman wako akibembea kule Jamaica....."angechoka" ghafla ingekuwaje pale LOL
Yangetokea yale ya Mwanza ingekuwa noma ile mbaya maana inaonekana parefu pale! Tungemsahau, tushukuru Mungu kaepushia mbali.
 
Game Theory, ungeisoma hiyo makala paragraph mbili zaidi (hadi angalau paragraph ya sita), ungeona sehemu tovuti ya www.jamiiforums.com inapokuwa quoted DIRECTLY na mwandishi.

If you want to criticize, criticize FAIRLY. Otherwise, it's always better just to keep quiet and not say anything.
 
SHY
Nimemwambia ukweli yeye abishe kama kweli hasaidiwi kuandika - hii ni mbaya sana
Hiyo ni dalili ya kukosa hoja. Hapa tupo wote kujadili mada na kubadilishana mawazo. Maoni yote ninayotoa yanatokana na fikra zangu binafsi. Au ni vigumu kwako kuamini kuwa mtu anayeitwa Tina anaweza kuwa na fikra huru? Tujadili hoja, si upuuzi wa hisia
 
Hongera gazeti la kulikoni kwa kutoa maoni yetu kwenye gazeti lenu ili hata wananchi wengine wajue umuhimu wa JF
 
Nani asiejua kuwa Kulikoni na ThisDay ni vipeperushi vya Reginald Mengi katika kuhakikisha anawamaliz awabaya wake wote.

Ningeshangaa sana kama wangemuandika Zitto positively. Mtu hahitaji kuwa na taaluma ya uandishi wa habari kuona biasness ya story hii. Mwandishi kaanza na kushangaa "katika hali isiyo ya kawaida Zitto ......" yaani kumtetea ( na sio kumpigia debe ) Dr Idris ni "hali isiyo ya kawaida" maana yake kawaida ni kumponda!

Mwandishi kaacha kwa makusudi hoja zenye mashiko kama profitability ya Tanesco na jinsi alivyo turn around shirika ndani ya kipindi kifupi badala yake kakazia kwenye rada kwa zaidi ya paragraph mbili.

Tuache kucheza mduara hapa, mwandishi kaandika hii ilhali akilini mwake anamfikiria Mengi ataipokeaje habari hii, jamani tuna safari ndefu na wapika habari wa Mengi hawa.
 
Wanajamvi,
Hata kama Rashid ni the best CEO, lakini tukubali umri wake umeshamtupa ni vema akapumzika wakaingia watu wapya.

Ni ajabu sana watu wanalalamika kuwa wazee wapumzike (hata JK kasema) lakini baadhi ya watu hapa wanaotaka wazee waondoke ndio wako mstari wa mbele kumtaka Rashid arudi tena

Maswali machache:

1. Je rashid alioomba kazi ile

2. Je alifanya usaili- maana yeye publicly alisema hana haja na hiyo kazi.


Ukiona mtu anmtetea Rashid lazima kuna walakin; yawezekana hamfahamu vizuri Dr Rashid au ana chembe chembe za ufisadi, au ni ndugu yake wa karibu, au anafaidika kimaslahi kwa Rashid kuwa pale au ni Muislamu anayehusudu udini- maana jamaa ndo kiboko ya udini

Bahati nzuri namfahamu vizuri nilliwahi kufanya naye kazi ACB, hana sifa hizo anazotaka kutuamininisha Zitto. He is just a normal CEO- hana la ziada.

Hao ndio wale ambao rais akitembelea sko la Tandale, wanasema hatujaona rais kama huyu hakika ni mchapakazi, haijawahi kutokea, ingawa hakuna tija yoyote inayopatikana kutokana na ziara hiyo.

Dr Rashid kupendwa na wafanyakazi wa chini kumesaidia kuboresha tija kwenye shirika hilo? kwa kiwango gani. Tija yetu sisi wananchi ni kuona umeme haukatiki bila sababu za msingi, rushwa inatoweka TANESC, na wananchi wengi wanapata huduma za umeme kwa ufanisi zaidi


Khe khe khee hee!!! walau wewe umekuwa mkweli na muwazi badala ya kuzungusha zungusha kama akina Tina.

Kumbe tatizo ni Uislamu! haya mengine yote ni blah blah tu si ndio maana Kimei pamoja na kuhusika na ku channel mipesa ya EPA anapeta kwa kuwa ana dini muafaka.

Safi kabisa umesikika mkuu.

 
Khe khe khee hee!!! walau wewe umekuwa mkweli na muwazi badala ya kuzungusha zungusha kama akina Tina.

Kumbe tatizo ni Uislamu! haya mengine yote ni blah blah tu si ndio maana Kimei pamoja na kuhusika na ku channel mipesa ya EPA anapeta kwa kuwa ana dini muafaka.

Safi kabisa umesikika mkuu.
Wengi huko wanaongea ki-kanisa kanisa ..utawajua tu...wakiona any muslim name..or politician wako so scared and terrified UDINI mtupu..na wanaboa
Kazi kujisifia na kuwasifia watu ki-waraka waraka..too late tumeshawashtukia kudadeki...
 
Back
Top Bottom