Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,711
- 220
Moja tu - Amechukua u CEO pakiwa na hasara ya 162bn kwa mujibu wa audited accounts za 2006. 2007 hasara ilishuka mpaka 67bn. 2008 imeshuka mpaka 30bn na mpaka june 2009 tayari TANESCO ilikuwa imebreak even. Kama sio mgawo wa Septemba, Oktoba na Novemba wangepata faida mwaka huu.
Mbili - kwa mara ya kwanza Taasisi za fedha zimekopesha TANESCO 400bn na wana service mkopo huo bila tatizo lolote na hivyo kuweka mazingira ya kukopa zaidi.
katika financial reporting, hizo zinaitwa "headline figures" na kazi yake ni ku paint picha nzuri
mpaka ma analyst waone full anual report ndio itajulikana ni nini kimefanyika
kama lukule alivyosema hiyo hasara labda ni kutokana na mkataba wa richmond (na yeye ni mmoja wa wafaidika), na kupungua kwa hasara kunatokana na mkataba kusitishwa. kama ni hivyo, basi hiyo siyo kazi yake bali ni wanasiasa
"taifa litaingia gizani kama mitambo isiponunuliwa" kweli the best ceo hana mipango mingine yeyote ya kulinusuru tanesco zaidi ya generator za dowans
je hizo bil 400 kafanyia nini