TANESCO: Dar es Salaam kuanzia leo Februari 23 hakutakuwa na mgawo

TANESCO: Dar es Salaam kuanzia leo Februari 23 hakutakuwa na mgawo

Msemaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Kenneth Boymanda amesema kuwa kwa jiji la Dar es Salaam kuanzia leo Ijumaa ya FEBRUARI 23 hakutakuwa tena na mgao wa umeme. Ameyasema hayo wakati akihojiwa na kipindi cha GOOD MORNING kinachorushwa na kituo cha redio cha WASAFI FM asubuhi hii.
Kumbe ni Dar tuu,hii haituhusu wa mikoani.
 
Msemaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Kenneth Boymanda amesema kuwa kwa jiji la Dar es Salaam kuanzia leo Ijumaa ya Februari 23 hakutakuwa tena na mgao wa umeme. Ameyasema hayo wakati akihojiwa na kipindi cha GOOD MORNING kinachorushwa na kituo cha redio cha WASAFI FM asubuhi hii.

Huku namtumbo tutakoma.
 
Msemaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Kenneth Boymanda amesema kuwa kwa jiji la Dar es Salaam kuanzia leo Ijumaa ya Februari 23 hakutakuwa tena na mgao wa umeme. Ameyasema hayo wakati akihojiwa na kipindi cha GOOD MORNING kinachorushwa na kituo cha redio cha WASAFI FM asubuhi hii.

TATIZO LA TANESCO WANAONGEA SANA KULIKO VITENDO
WANGESUBIRI TU HATA WIKI MBILI WAONE MAENDELEO NDIO WATANGAZE.....KWANI WATU SI WATAONA TU KUWA HAUKATIKI KATIKI. Kuna kitu wanatakiwa wajifunze huko private sector wanavyotoa taarifa
 
Kuna wakati upungufu wa mafuta ya 'taa' ulionekana kana ndio wakati wa Yesu kurudi.

Leo hii mabwawa ya maji yakipungua maji, jehanamu linaonekana mawinguni.
iu


I urge you to reflect. Whether it's mafuta ya taa, or Water and so on, our choices shape our energy future.

Manage your earthly blessings and seek sustainable solutions

Kumbukeni, hata kwenye kiza kinene, kuna uwezekano(there's potential for innovation and renewal). ~Syllo
 
Dar Es Salaam gani hiyo ambayo Mheshimiwa alikuwa anaizungumzia?

Tusije tukawa tunalaumu bure tu kuwa Kiwalani umeme umekatika sababu ya mgao tukijua nayo ipo Dar Es Salaam kumbe viongozi hawaitambui Kiwalani kama sehemu ya dar.
 
Back
Top Bottom