TANESCO: Dar es Salaam kuanzia leo Februari 23 hakutakuwa na mgawo

Huku Bunju wamechukua muda huu.. saa 3 na dk 48 tarehe 23 Februry 2024
 
Kama huyo msemaji wa TANESCO anadanganya umma wa watanzania basi ikithibitika aondolewe kwenye nafasi hiyo kama yule aliyekuwepo kabla yake. Wa kabla yake na yule wa TPDC waliondolewa na Biteko mwaka jana wakiwa ni waathirika wa mwanzo mwanzo baada ya Biteko kupachikwa u-NWM.
 
Umeme kukatika inaweza kuwa sababu za kawaida tu kwani hata pasipokuwepo na mgao bado umeme hukatika, habari njema ndio hiyo Dsm mgao umeisha atlest feni zituokoe na hili joto.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Watu wanatakiwa wajue hii, sio kila umeme ukikatika ni mgao. Hata wakati wa JPM hakukuwa na mgao ila utakuwa muongo ukisema umeme ulikuwa haukatiki.
 
Lakini kama hiyo haitoshi, kuanzia leo Mkoa wa Dar es Salaam wote utakuwa ukipata nishati ya umeme na hali hiyo tunategemea itaendelea kuwa hiyo siku zinavyozidi kwenda.[emoji848]
Not very sure 100%
 
Sawa na form six wa boarding anapokua likizo na kujiapiza akirudi shuleni hatapiga punyeto Tena.
 
Na ikitokea unakatika, yuko tayari kuachia kiti kwa kutoa ahadi ya uongo?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Na ikitokea unakatika, yuko tayari kuachia kiti kwa kutoa ahadi ya uongo?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Aachie amwachie nani ulishwahi kusikia hio hata siku moja? Ukikatika atakwambia ni matatizo ya kihitirafu za kimiundominu umeme unakosa njia za kuwafikia wananchi Ila umeme uliopo ni mwingi sana mafundi wetu wapo kazini kufanyia marekebisho suala hilo tunatoa pole kwa wateja wetu kwa hali hii iliyotokeza, hutosikia kaachia kiti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…