Nimetembelea Kijiji fulani huko mkoa wa Geita nimekumbana na shida ya umeme. Wenyeji wanasema Transformer lao limeharibika siku kadhaa sasa.
Kijiji kizima hakina umeme hadi nilivyoondoka leo.
Ndugu zangu TANESCO mje kurekebisha hitilafu ikitokea wananchi wanateseka.
Kijiji kizima hakina umeme hadi nilivyoondoka leo.
Ndugu zangu TANESCO mje kurekebisha hitilafu ikitokea wananchi wanateseka.