magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Hahaha atoe location tuje tufungue frame ya kuuza samaki wabichi na majokofu yetu.Ni wapi tuje chomelea hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha atoe location tuje tufungue frame ya kuuza samaki wabichi na majokofu yetu.Ni wapi tuje chomelea hapo
Kidooogo kumsifia mama mlezi inasound serious Coz imesomba hadi watu wenye akili timamuTanzania hakuna kitu ambacho kipo siriazi
Msisahu kunitag na mimi nilinunua AC nikatumia wiki tu nikalitukana matusi yote, ila kama kuna sehemu imepatikana kidgo na mimi nilitumie wapendwaHahaha atoe location tuje tufungue frame ya kuuza samaki wabichi na majokofu yetu.
😂😂😂Ni wapi tuje chomelea hapo
Kuna siku utalia tu wewe jifanye kiburi. Kwanini usingeenda kwa meneja?Nimegundua mita yangu haikati umeme hata unit zikiisha, ni mpya kabisa na imefungwa kwenye nguzo yao ya umeme. Wamefunga mita za nyumba kama 4 kwenye nguzo hiyo, kwahiyo tunatumia vile vi remote ku control.
Sasa baada ya kubaini hitalafu hiyo jana nikaenda kwenye ofisi yao kuripoti, mhudumu niliyemkuta akasema inabidi niandike barua ya malalamiko niombe kubadilishiwa mita.
Nikamuuliza kwani taarifa niliyoileta hajaielewa mpaka niandike barua? Nikamuuliza hajui kama namimi na majukumu mengine, akasema huondio utaratibu.
Nikaondoka zangu. Kwakuwa nimeshatoa taarifa na nilifuata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kuandika jina kwenye daftari la wageni kamwe sitarudi.
Mwisho: macho legevu na umbo kisiwe kigezo cha kuajiri.