Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Usilale na swali moja kichwani mwako, jikung'ute maswali kibao ya msingi, mbona yapo tu mengi?Ubungo sahivi washakata sijui nalalaje
Utachajije na kuchatije na simu yako hiyo?
Asubuhi hilo birika ama keetel utaiwasha na nini?
Vibaka utawaonaje na kuwadhibiti bila ya taa za security?
Jipige maswali ya kutosha mkuu halafu uje na jibu asubuhi.
Sent using Jamii Forums mobile app