TANESCO ibinafsishwe kwa muwekezaji maana haina tija kwa taifa na msaada kwa Watanzania

TANESCO ibinafsishwe kwa muwekezaji maana haina tija kwa taifa na msaada kwa Watanzania

MUBIKU

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
283
Reaction score
384
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta ya NISHATI.

Kwetu sisi Tanzania imekuwa Tofauti, sekta ya nishati Imekuwa kero na mzigo wa kusumbua wananchi na taifa kiujumla tunacheka nayo na inatumiiza ni muda sasa umefika TANESCO na TPDC wapewe wewekezaji.
 
W
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta ya NISHATI. Kwetu sisi Tanzania imekuwa Tofauti, sekta ya nishati Imekuwa kero na mzigo wa kusumbua wananchi na taifa kiujumla tunacheka nayo na inatumiiza ni muda sasa umefika TANESCO na TPDC wapewe wewekezaji.
Wawekezaji watafanya kipya kipi kwenye mgao wa umeme tuanzie hapo!
 
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta ya NISHATI. Kwetu sisi Tanzania imekuwa Tofauti, sekta ya nishati Imekuwa kero na mzigo wa kusumbua wananchi na taifa kiujumla tunacheka nayo na inatumiiza ni muda sasa umefika TANESCO na TPDC wapewe wewekezaji.
TANESCO ikibinafsishwa tujiandae kununua unit 1 kwa 1000
 
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta ya NISHATI. Kwetu sisi Tanzania imekuwa Tofauti, sekta ya nishati Imekuwa kero na mzigo wa kusumbua wananchi na taifa kiujumla tunacheka nayo na inatumiiza ni muda sasa umefika TANESCO na TPDC wapewe wewekezaji.
Haina shida ngoja niongee na waarabu wa Dubai
 
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta ya NISHATI. Kwetu sisi Tanzania imekuwa Tofauti, sekta ya nishati Imekuwa kero na mzigo wa kusumbua wananchi na taifa kiujumla tunacheka nayo na inatumiiza ni muda sasa umefika TANESCO na TPDC wapewe wewekezaji.
Tatizo ni CCM. Narudia tatizo ni CCM. Anzisha mada ya kuindoa CCM. Hili la kubinafsisha kila kitu ni kama ile hali ya mtu mzembe anayeachiwa mali ya urithi. Anapoanza kuuza vitu unakuwa ndiyo utaratibu wake mapaka mali iishe.
 
Bila kuwafunga wanaohujumu taifa na wenye ufanisi mdogo kwenye utumishi wa umma itakuwa ni ngumu sana kuendelea
 
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta ya NISHATI. Kwetu sisi Tanzania imekuwa Tofauti, sekta ya nishati Imekuwa kero na mzigo wa kusumbua wananchi na taifa kiujumla tunacheka nayo na inatumiiza ni muda sasa umefika TANESCO na TPDC wapewe wewekezaji.
Koma we!!
 
TANESCO ibinafsishwe Kuna matatizo mengi sana lakini baya zaidi ni pale ambapo vijijini Bado tuko gizani wa mijini ndiyo wananeemeka na keki hiyo adhimu ya Taifa
 
Mada hii ianzishwe maalum kwa manufaa yetu sisi wananchi toachane na bandari ambayo inaweza pia ikawa inatusadia au haitusadii, tuachane na mchakato wa katiba, tujikite kwenye mchakao wa kubinafsisha TANESCO na Shirika la maendeleo la petroli TPDC, uchumi wowote wa nchi duniani unaanza na sekta ya NISHATI.

Kwetu sisi Tanzania imekuwa Tofauti, sekta ya nishati Imekuwa kero na mzigo wa kusumbua wananchi na taifa kiujumla tunacheka nayo na inatumiiza ni muda sasa umefika TANESCO na TPDC wapewe wewekezaji.

Shida ni ya anayekutawala
 
Katika mashirika yanayo lalamikiwa sana na wananchi ni pamoja na shirika la umeme Tanesco, kwa miongo kadhaa limekuwa likitoa huduma isiyo na uhakika kwa wananchi/wajasiriamali wadogo na viwandani.

Ili uchumi wa nchi yetu upae ni lazima sio tu kuwa na nishati ya uhakika lakini pia iwe nafuu na iwe ya uhakika na ili kufanikisha hilo ni muhimu sana uwekezaji ukafanyika, kama tutaendelea na watendaji wababqishaji basi tujue kuwa nchi yetu haiwezi kupiga hatua.

Umeme unakatikakatika, ukirudi hauna nguvu na hakuna mfanyakazi wa tanesco anayesumbuka.

TANESCO IMEOOZA .
 
Katika mashirika yanayo lalamikiwa sana na wananchi ni pamoja na shirika la umeme Tanesco, kwa miongo kadhaa limekuwa likitoa huduma isiyo na uhakika kwa wananchi/wajasiriamali wadogo na viwandani.

Ili uchumi wa nchi yetu upae ni lazima sio tu kuwa na nishati ya uhakika lakini pia iwe nafuu na iwe ya uhakika na ili kufanikisha hilo ni muhimu sana uwekezaji ukafanyika, kama tutaendelea na watendaji wababqishaji basi tujue kuwa nchi yetu haiwezi kupiga hatua.

Umeme unakatikakatika, ukirudi hauna nguvu na hakuna mfanyakazi wa tanesco anayesumbuka.

TANESCO IMEOOZA .


Hapana kabisa kabisa na hii haitatokea kamwe, haya simama tukuombee maana shetani anakutumia vibaya sana kimawazo na ukiendelea kimatendo soon utaanza kutumika, kwa mawazo haya utatukuja tuambia tubinafsishe bandari zote, polisi, jeshi pia, koma hapo ulipofikia
 
Hapana kabisa kabisa na hii haitatokea kamwe, haya simama tukuombee maana shetani anakutumia vibaya sana kimawazo na ukiendelea kimatendo soon utaanza kutumika, kwa mawazo haya utatukuja tuambia tubinafsishe bandari zote, polisi, jeshi pia, koma hapo ulipofikia
Tunajuana vizuri wabongo, akili walizo nazo ni kupiga badala ya kuchapa kazi na kuongeza ufanisi.
Ni bora tukawekeza ili tuwe na umeme wa uhakika, lau kama tutatendelea kuwa na watendaji waliopo kamwe hatutasonga.
 
Jana kuna sehemu ulikata saa 2 asubuhi ujarud saa 3 usiku
Huo ndio mchezo wanao ujua hao watendaji wa Tanesco, hivi tunavyo ongea katika maeneo ya Jiji la dsm ambapo ndipo kuna uzalishaji mkuwa umeme umekatika na unapo rudi hauna nguvu ya kusukuma mashine!!!

Kwakweli ili nishati iwe ya uhakika lazima tanesco ifanyiwe mabadiliko makubwa sana ya watendaji na baadhi ya watumishi ktk idara mbalimbali.
 
Kama kutofanya kazi kwa ufanisi ndio chanzo cha kubinafsisha basi Kila sekta inapaswa kubinafsishwa kwa sababu hakuna inayo fanya kazi ipasavyo, hata bunge, mahakama bila kusahau lile jengo jeupe la kule ufukweni nayo pia yata binafsishwa kwa sababu na yenyewe ndio yale yale,

Suluhisho ni kwamba unahitajika uzalendo na uwajibikaji tuu kwa Kila mmoja kutokea juu kabisa hadi chini ili kutuondoa kwenye hili shimo tunalo zidi kuzama Kila siku, lakini kwa bahati mbaya sana wote walioko kwenye mfumo hawana hizo sifa, na wenye hizo sifa wakiingia katikati yao hawawezi kufurukuta na mwisho wanakua kama wao wakiwa wabishi Sana paradiso inawaita
 
Back
Top Bottom