Hiyo combination iliyopo sasa ni hatari Sana. huwezi amini zitto ndio wanamtumia kusemaKuna combination chachu sana kwenye hii wizara, kuanzia waziri mwenyewe, bodi aliyoiunda, Zitto, na uhusiano wao na mwenye mamlaka ya nchi, historia zao huko tulipotoka hazileti matumaini kabisa kwenye suala la kumkomboa mtanzania wa hali ya chini, tupo kwenye circle ya wapigaji tunaishi kwa matumaini tu.
Mkuu pamoja na ubaya wote wa mwendazake,Ila kwa Tanesco tutakuwa tunamuonea. Hakukua na kampuni ilifyofilisi Tanesco Kama kipindi Cha Dowans, Richmond, iptl, symbion n.kUfisadi haujawai kuisha TANESCO hata awamu ya mwendazake ulikuwepo tena wa kutisha...kila awamu inakuja na MAFISADI wake ila kinachofanyika ni kuwabrain wash WADANGANYIKA kwamba tulikuwa tunaibiwa sana.
Wewe ndiyo ulikuwa kinara wa kumtukana Magufuli , acha laana iwatafune mtanyooka tu na bado.Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.
Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.
Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .
Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.
Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.
Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!
Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya matajiri?
Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?
Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya mjamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!
Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme,!!
Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?
Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee tanesco na Nchi.
Huku Jpili hakukuwa na umeme na Leo tena hakuna umeme.Hapana! Ila mataga, sukuma gang na mwendazake wanakomeshwa!
(alisikika taahira mmoja toka mitaa ya ufipa)
Ufisadi wote tunaujua toka mkapa Hadi Kikwete haya tuambie wa Magufili.Ufisadi haujawai kuisha TANESCO hata awamu ya mwendazake ulikuwepo tena wa kutisha...kila awamu inakuja na MAFISADI wake ila kinachofanyika ni kuwabrain wash WADANGANYIKA kwamba tulikuwa tunaibiwa sana.
Kuna watu ni wagonjwa wa chuki za kupitiliza kwa JPM. Hata Lissu aliyepigwa risasi yapo mengi ameanza kujua uhalisia wa mambo hasa picha halisi za wanasiasa wengi. Tatizo kubwa la Lissu kwa JPM na alilojitahidi kumrekebisha (ingawa hakuwa na approach rafiki) ni ubabe ambao wakati mwingine unakosa maarifa ya msingi. Ziko vita unaweza kushinda bila kuingia vitani.Ufisadi wote tunaujua toka mkapa Hadi Kikwete haya tuambie wa Magufili.
Lisu ni bingwa wa kujipendekeza kama Zito tu wala hawana uaggressive wowote.Kuna watu ni wagonjwa wa chuki za kupitiliza kwa JPM. Hata Lissu aliyepigwa risasi yapo mengi ameanza kujua uhalisia wa mambo hasa picha halisi za wanasiasa wengi. Tatizo kubwa la Lissu kwa JPM na alilojitahidi kumrekebisha (ingawa hakuwa na approach rafiki) ni ubabe ambao wakati mwingine unakosa maarifa ya msingi. Ziko vita unaweza kushinda bila kuingia vitani.
Ila ukimpa Lissu nchi leo tofauti yake na JPM ni atatumia sheria halali kunyoosha watu ila Lissu ni aggressive kama JPM! Akiwa Rais hata Chadema wenyewe watachukia kama ilivyotokea kwa CCM dhidi ya JPM.
Wewe ni mmoja wao nn Mkuu???Ndo hvyo ndugu technically, hata tukisema Hadi tulie, wenye mpini wanafanya yao cc tunaleta jukwaan..two different dimensions..na hakuna wa kuwazuia, unaweza kukuta wanasoma post wanacheka tu
Tunapenda lakini tufanyie wapi sasa?, kwa mfano Mimi ni Fundi Viatu.Badala ya kulialia na wewe jipange ukafanye ufisadi, kwani hupendi pesa?
Mafisadi walianza muda mrefu Sana kuila tanesco record zinaonyesha TANESCO ilianza kuliwa toka mwaka 1994.
Magufuli alipoingia akajaribu kuwaondoa mafisadi wote kuliteka shirika la TANESCO ingawa alikuwa anatumia nguvu ila kiasi alifanikiwa ingawa watu Kama Tundu Lissu walimshauri kwamba atengeneze Sheria zitakazodumu muda wote kwenye rasilimali za Nchi.
Kwa kujua atatawala milele aligoma na kujisemea atawashugulikia apendavyo na kweli aliwashughulikia .
Sasa hayupo yamerudi ndani ya shirika labda angemsikiliza Tundu Lissu juu ya kufuata mfumo wa Bolivia leo tungekuwa salama.
Walianza kuwatumia watu wanaotumbuliwa kuongea bungeni, Mnakumbuka kauli ya Nape kwamba serikali awaachie sector binafsi kuwekeza kwenye umeme? Jamaa alitaka Rufiji ijengwe na sector binafsi na wawauzie umeme tanesco.
Yaani turudie Yale Yale ya Symbion, Dowans, Richmond na IPTL!!
Leo January na Zito wakitumiwa na magege ya wezi na mafisadi wanataka kuuza hisa za tanesco shirika la umma ili umeme wa Nchi ulioshika usalama wa taifa uwe chini ya matajiri?
Waipangie Tanesco Bei ya umeme Kama wanavyotaka?
Vyanzo vyote vya umeme vilivyojengwa kuanzia utawala wa nyerere Leo viwe chini ya mjamaa tu wengi wao Wala hata hawaishi nchini!!
Yaani hatujifunzi tu kutokana na makosa, sasahivi umeme umeanza kukatika katika hovyo tu na biashara za vijana mnajua zinategemea umeme,!!
Kuna maeneo unaamhiwa umeme unakatika mara 5 kwa siku Sasa najiuliza Yale majamaa yakiingia Tena tunapona ? Wakati yanaingia na mikakati ya kuagiza makotena ya Generator?
Vijana waliojiajiri na masaloon waliomaliza vyuo wanaishije!! Tuiombee tanesco na Nchi.
Kwani wafanyabiashara wanaonufaikaga wanafanyia Tanesco? Tafuta connectionTunapenda lakini tufanyie wapi sasa?, kwa mfano Mimi ni Fundi Viatu.
Private sector ilifeli kwenye ATCL Ikafeli kwenye TRC,lakini wacha tuoneOn the other side of the coin private sector imeonyesha efficiency ya hali ya juu. Jiulize tungekuwaje kama TTCL ingeendelea na ile monopoly. By mwaka 1993 kabla Tigo hawaja connect mteja wa kwanza, TTTCL ilikuwa na landline subscrbers kama 105,000 tu.
Leo hii hawa mobile operators wana connect zaidi ya Watanzania 26 Milioni. Ngoja tuwape benefit of doubts
Ila Techinically alikuwa hata akimtukana anatoa na sababu,huyu nimemfuatilia anajenga hoja zake vizuri sanaWewe ndiyo ulikuwa kinara wa kumtukana Magufuli , acha laana iwatafune mtanyooka tu na bado.