TANESCO, Je mnafuta Tariff Zero?

Subiri tufikie huo uwezo wa Libya na hizo nchi tutatumia Bure serikali itagharamia kwa sasa bado
 
Daaah hii inshu imenikumba Sasa itakuaje kama wakitutoa aisee, nilijua ni mistake tu imetokea kumbe kweli aisee ngoja tujipange upya sasa
Hapana inabidi tuwe wakali na sio wewe tu bali kila mtu aweze kulipa kama hio..., sioni kwanini Bwawa linakwisha, tuna gesi asilia, tuna mapaa ya kuzalisha solar n.k., kwanini TANESCO wasitumie hivyo vyanzo na kuhakikisha umeme unakuwa affordable ? Kazi yao sio kutoa GAWIO serikalini bali NISHATI majumbani....
 
Kwani haujasikia wanasema wako kwenye maboresho?
Mumewekwa T1.
D1 wamezifuta uchumi mbaya lazima mmyonyoke
 
Wameondoa tayari Tena kimnya kimnya na kipigo juu. Tanesco wamekuwa wezi.
Walipokuwa wanawaambia mtaingiza hizo token kwa mfungu mlifikiri ni maboresho gani?
Hali si nzuri.
 
Subiri tufikie huo uwezo wa Libya na hizo nchi tutatumia Bure serikali itagharamia kwa sasa bado
Moja tuna uwezo wa kuzalisha umeme wa kutosha na vyanzo vya kutosha; pili serikali pesa inatoa wapi kama sio kwa wananchi walewale ? Tatu sasa badala ya kutumia kodi zetu kununua LPG kwanini tusitumie hizo kodi kufanya umeme uwe afrodable watu wapikie ?
 
Hiyo system mkuu ni unaenda wanakuunga au vipi
Kipindi kile ulikuwa unawaambia matumizi yangu ni chini ya 75 units hivyo wanakubadilishia Tariff ila kwa sasa nahisi ni mwendo wa kuwanyofoa wale waliokuwemo unless upo vijijini...
 
Subiri tufikie huo uwezo wa Libya na hizo nchi tutatumia Bure serikali itagharamia kwa sasa bado
Huna hoja kabisa wewe mtu. Nini haja sasa ya kufanya kampeni ya kutumia nishati safi kama hawawezi kupunguza gharama za nishati safi zikawa affodable kwa kila mwananchi? Mwenzako anatoa hoja, wewe umekalia kupinga utadhani hujielewi.

Au unanufaika na uagizwaji wa gesi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…