Wafanye na task force kuwahudumia wateja wapya wanaohutaji huduma bila mizengwe na mizungusho🤔TANESCO: MFUMO WA LUKU KUTOFANYA KAZI KUANZIA SAA 4 USIKU SEPT. 12-15, 2022
Shirika la Umeme Tanzania limetangaza kufanya matengenezo hayo kwenye Kanzi Data ya Mfumo wa manunuzi ya Umeme (LUKU) ili kuongeza ufanisi.View attachment 2346624
Matengenezo hayo yatachukua siku 4 kuanzia Jumatatu Septemba 12 hadi 15, 2022 na wateja wataweza kununua Umeme muda wote isipokuwa kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.
Shirika limeshauri wateja kununua Umeme wa ziada au kufanya manunuzi nje ya muda wa matengenezo ili kuepusha kukosa huduma.
Wafanye na task force kuwahudumia wateja wapya wanaohutaji huduma bila mizengwe na mizungusho🤔TANESCO: MFUMO WA LUKU KUTOFANYA KAZI KUANZIA SAA 4 USIKU SEPT. 12-15, 2022
Shirika la Umeme Tanzania limetangaza kufanya matengenezo hayo kwenye Kanzi Data ya Mfumo wa manunuzi ya Umeme (LUKU) ili kuongeza ufanisi.View attachment 2346624
Matengenezo hayo yatachukua siku 4 kuanzia Jumatatu Septemba 12 hadi 15, 2022 na wateja wataweza kununua Umeme muda wote isipokuwa kuanzia saa 4 usiku hadi saa 1 asubuhi.
Shirika limeshauri wateja kununua Umeme wa ziada au kufanya manunuzi nje ya muda wa matengenezo ili kuepusha kukosa huduma.
Wenzetu unafidiaje🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸Majenereta na solar power zilikosa wateja kwa muda mrefu. Acha wafidie hasara!😀
Shangaa na wewe!... tangazo la aina hiyo unawezaje kutumia neno TUNAPENDA; hilo ni tangazo la kufurahisha kweli?
Mbona hawajasema luku hazitafanya kazi? Hapo wanazungumzia manunuzi ya luku kutoweza kufanyika kwa muda waliotaja....
Kwa hiyo manunuzi ya luku kutowezekana ndiyo luku zitaendelea kufanya kazi?!Mbona hawajasema luku hazitafanya kazi? Hapo wanazungumzia manunuzi ya luku kutoweza kufanyika kwa muda waliotaja....
Binafsi sijaona lolote. Tuchape kazi
Yeah.... Wewe nunua umeme wa kutosha siku zote hizo wala hutataabika na lolote.Kwa hiyo manunuzi ya luku kutowezekana ndiyo luku zitaendelea kufanya kazi?!
Kabisa kabisa[emoji23][emoji23]Usikute Tanzania Ni chanel ya Vichekesho Huko Mbinguni