Kwa mijibu wa mabadiliko ya sheria ya mwenendo wa madai sura 33 (CAP 33 R.E 2019) kifungu cha 64A imeanzisha kitu kinaitwa utatuzi wa migogoro kwa njia ya usuluhishi (“Conciliation, negotiation and mediation")
Ndiyo, nenda kwa Wakili 1 kwa 1, wakili ndiyo atawaandikia NOTISI YA KUWATAKA WAZINGATIE HAKI ZAKO (i.e DEMAND NOTICE) ndani ya muda fulan (say 7, 14, 21 days etc). Barua ya wakili wataijibu, ila ya kwako bila wakili utakuwa unaandika wala majibu hupewi ya maandishi (labda ya mdomo ambayo nayo hayaridhishi).
Wakili sio kwamba atakimbiliana mahakamani kama mtu anaharisha kuwahi msalani hapana, Mahakama huwa ni njia ya mwisho baada ya njia za diplomasia kushindikana (Last resort).
A good advocate has a duty to the client, duty to the court, duty to the public and duty to the opponent.
Sent using
Jamii Forums mobile app