Point notedTunakushauri kabla ya kwenda mbali sana fika ofisi zetu kwani wewe ni mteja wetu na TANESCO ni mali yako hivyo hakuja kinachoshindakana wala hakuna haja ya case wakati haujatoa lalamiko rasmi
Mfumo upo hivi....
Nina swali dogo sana la kuumiza Tanesco, ni lini kata ya chibingo,kilicho Kijiji Cha chibingo, wilaya ya geita,mkoa wa geita,pembeni mwa barabara ya kutoka katoro kuelekea geita mjini kitapatiwa umeme?Tunashukuru kwa taarifa
Tunakushauri ufike ofisi ya eneo lako kwa utatuzi wa swala hili kwa kuwa uwekaji wa miundombinu unashirikisha viongozi wa maeneo husika na wakazi pia
TANESCO MAKAO MAKUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili peleka bungeniNina swali dogo sana la kuumiza Tanesco ,ni lini kata ya chibingo,kilicho Kijiji Cha chibingo, wilaya ya geita,mkoa wa geita,pembeni mwa barabara ya kutoka katoro kuelekea geita mjini kitapatiwa umeme?kuna shule ya msingi chibingo na zahanati na havina umeme...
Mbunge wa pale ni Mh Joseph musukuma,tumemwambia Hadi leo hakuna umeme,.waziri wa nishati Mh Medadi Kalemani mbunge wa chato mkoa wa Geita amepita pale akielekea chato tukamuomba Hadi leo hakuna umeme.sasa hukobungeni tukamuomba Nani,wananchi wanatumia
SagaciR nisaidie, please. Nilinunua kiwanja sehemu haijapimwa. Baadaye wakaja private surveyors wakapima sehemu yangu na kuwagawia jirani zangu. Wakachora na ramani na kuzipeleka mipango miji, sijui kama zilikubaliwa, sijui.Kwa mijibu wa mabadiliko ya sheria ya mwenendo wa madai sura 33 (CAP 33 R.E 2019) kifungu cha 64A imeanzisha kitu kinaitwa utatuzi wa migogoro kwa njia ya usuluhishi (“Conciliation, negotiation and mediation")
Ndiyo, nenda kwa Wakili 1 kwa 1, wakili ndiyo atawaandikia NOTISI YA KUWATAKA WAZINGATIE HAKI ZAKO (i.e DEMAND NOTICE) ndani ya muda fulan (say 7, 14, 21 days etc). Barua ya wakili wataijibu, ila ya kwako bila wakili utakuwa unaandika wala majibu hupewi ya maandishi (labda ya mdomo ambayo nayo hayaridhishi)...
Naomba nami nitumie sheria hiyo if possibleUploading fails due to slow network, nipo kijijini kwa mapumziko ya kufufuka kwa Emmanuel mwana wa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
unsurveyed areas nadhani are not bound by those rules! Ila kama watu waelewa ni vema kuacha that spacingkwenye viwanja vyenu mliacha 1.5 m kwa kila mmiliki au nyote mlijenga kwenye mipaka yenu ? Hili ni tatizo kubwa sana nchini sababu kama hizo meters zipo jaribu kuwaambia / kuwashauri kwanini wasiamishe hizo nguzo zao kwenye hilo eneo
Ndugu zangu nisaidieni TANESCO wameweka nguzo ya umeme tena ni ya TRANSFOMA kwenye katikati ya kiwanja cha nyumba . hivi kuna sheria yeyote itakayonisaidia?
Naombeni msaada jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanesco, juzi walikuja watu wa Tanesco wakaweka suppoting wire, ule unaotoka kwenye nguzo kwenda chini ya ardhi (sijui unaitwaje) bila kunishirikisha/kuniambia.Tunashukuru kwa taarifa
Tunakushauri ufike ofisi ya eneo lako kwa utatuzi wa swala hili kwa kuwa uwekaji wa miundombinu unashirikisha viongozi wa maeneo husika na wakazi pia
TANESCO MAKAO MAKUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Stay wire inawekwa ili kuimarisha nguzi iliyo kwenye eneo lako na haizui wewe kutumia eneo lako kwa namna yeyote ila kwa kuwa inachukua sehemu ndogo sana.hivyo huu ni usalama wako na usalama wa miundimbinu ya umeme ya eneo lakoTanesco, juzi walikuja watu wa Tanesco wakaweka suppoting wire, ule unaotoka kwenye nguzo kwenda chini ya ardhi (sijui unaitwaje) bila kunishirikisha/kuniambia. Je hii ni sawa? Unanishauri nifanyeje maana naona kama wametumia ubabe kufanya walichokifanya, na sehemu hiyo iliposimikwa wire siwezi kufanya lolote I am deprived of my space
Nimekuelewa vema, nawashauri next time wasiliana na mwenye eneo kuweka urafiki/ costomer care relationship iwe nzuri.Stay wire inawekwa ili kuimarisha nguzi iliyo kwenye eneo lako na haizui wewe kutumia eneo lako kwa namna yeyote ila kwa kuwa inachukua sehemu ndogo sana.hivyo huu ni usalama wako na usalama wa miundimbinu ya umeme ya eneo lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunashukuru sana kwa ushauri wakoNimekuelewa vema, nawashauri next time wasiliana na mwenye eneo kuweka urafiki/costomer care relationship iwe nzuri.
Tanesco hapo mmeshikwa ugoni.katoeni hiyo nguzoHii nguzo ipo kijiji kinaitwa Betheli, Gonja Bombo, Same, Kilimanjaro.
Hii nguzo ina miaka mitatu sasa toka tumeanza kutoa taarifa katika kituo cha Tanesco, Ndungu, Same, Kilimanjaro...
Usijali mtapata umeme haraka sana huo mkoa wa Yesu bwana cc kangiNina swali dogo sana la kuumiza Tanesco, ni lini kata ya chibingo,kilicho Kijiji Cha chibingo, wilaya ya geita,mkoa wa geita,pembeni mwa barabara ya kutoka katoro kuelekea geita mjini kitapatiwa umeme?
kuna shule ya msingi chibingo na zahanati na havina umeme .kila wakati wananchi wanasimamia barabarani wakiomba viongozi wao kuwapatia umeme na kupewa ahadi bila kutekelezwa.tunaomba wananchi hao kupatiwaumeme wapi zaidi ya kaya 600 ziko gizani tangu enzi ya uhuru...
Mlivyo wajinga mtawachagua tenaMbunge wa pale ni Mh Joseph musukuma,tumemwambia Hadi leo hakuna umeme,.waziri wa nishati Mh Medadi Kalemani mbunge wa chato mkoa wa Geita amepita pale akielekea chato tukamuomba Hadi leo hakuna umeme.sasa hukobungeni tukamuomba Nani,wananchi wanatumia
Wakati wa zoezi la upimaji ulikuwa unashiriki au ndo ulikuwa bze huendi kwenye eneo lako?SagaciR nisaidie, please. Nilinunua kiwanja sehemu haijapimwa. Baadaye wakaja private surveyors wakapima sehemu yangu na kuwagawia jirani zangu. Wakachora na ramani na kuzipeleka mipango miji, sijui kama zilikubaliwa, sijui.
It is like that, waliunganisha sehemu kubwa ya eneo langu na kumpa jirani ambaye alikuwa amenunua kwa mtu huyo huyo aliyeniuzia. Katika hali hii nifanyeje?..viwanja vilikuwa na eneo la 1800 sq mtr kutoka less tha 400 sq meters za majirani. hivyo kwangu walikata sana eneo langu.
Pili, wakaweka na barabara wholly kwenye kiwanja changu. Nimekataa kuwa upimaji huu haukunishirikisha hivyo siwezi kukubali kumegwa ardhi yangu, lkn mweyekiti wa mtaa anataka kutumia ubabe. Nifanyeje
Ni viwanja hawavipimwa. Sikuwepo nilikuta wamewekaWakati wa zoezi la upimaji ulikuwa unashiriki au ndo ulikuwa bze huendi kwenye eneo lako?
Nahapa nina vuta muda tu nione watajibu baada ya muda ganiTanesco hapo mmeshikwa ugoni.katoeni hiyo nguzo
Kimbry the donee, Ndiyo ipo Sheria ya umeme Namba 10 ya mwaka 2008. Hasa kifungu cha 34-36 ikisomwa pamoja na Sheria za Ardhi (4 au 5 zote za mwaka 1999 kutegemea na upo Ardhi ya namna gani), sheria ya utwaaji wa Ardhi sura 118, kanuni za mipango miji za mwaka 2018 (G.N 93/2018) hiyo 1.5 M space na jirani HUWA SIO CONSTANT hubadilika kutokana na ukubwa wa kiwanja, na ibara ya 24 ya Katiba ya JMT 1977.
Sent using Jamii Forums mobile app