SMG KIBONGE CHA BABA
New Member
- Dec 15, 2020
- 1
- 0
Nianze kwa kupongeza juhudi kubwa zinazofanywa na watumishi wote wa TANESCO nchini kote bila kuwasahau watumishi wanaotuhakikishia huduma hii ya umeme ipo kwa watumiaji muda mwingi KATIKA ENEO la Mbezi na viunga vyake vyote pokeeni pongezi hizi.
Naendelea kutambua na kuheshimu kazi inayofanyika na sio vyema Sana KULETA malalamiko yangu humu Jambo ambalo najua halileti afya kwa taasisi kubwa Kama TANESCO, niwaombe TU wahusika kutuwahishia huduma ya umeme hakuna sababu ya mtu kulipia umeme mwaka huu akawekewa huduma mwaka ujao wa 2021 ukizingatia watanzania tupo na shauku kubwa ya kuendelea kuchangia mapato ya nchi yetu chonde chonde ndugu zetu TANESCO mtusaidie wateja wenu.
Taratibu za kufuata ili kuweza kupatiwa huduma zipo ila majibu ya watoa huduma yamejikita katika utaratibu na ndio MAANA tunaomba.
Naendelea kutambua na kuheshimu kazi inayofanyika na sio vyema Sana KULETA malalamiko yangu humu Jambo ambalo najua halileti afya kwa taasisi kubwa Kama TANESCO, niwaombe TU wahusika kutuwahishia huduma ya umeme hakuna sababu ya mtu kulipia umeme mwaka huu akawekewa huduma mwaka ujao wa 2021 ukizingatia watanzania tupo na shauku kubwa ya kuendelea kuchangia mapato ya nchi yetu chonde chonde ndugu zetu TANESCO mtusaidie wateja wenu.
Taratibu za kufuata ili kuweza kupatiwa huduma zipo ila majibu ya watoa huduma yamejikita katika utaratibu na ndio MAANA tunaomba.