TANESCO mbona mmekata umeme tangu usiku huku Bunju?

TANESCO mbona mmekata umeme tangu usiku huku Bunju?

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
TANESCO kuna shida gani mvua kidogo tu mmekata umeme tangu usku mpaka sasa huku bunju.
Mnatutia hasara mjini umeme ni muhimu tunapishana na pesa.
Yani mvua ikinyesha nyie mnapata excuse ya kukata.
 
TANESCO kuna shida gani mvua kidogo tu mmekata umeme tangu usku mpaka sasa huku bunju.
Mnatutia hasara mjini umeme ni muhimu tunapishana na pesa.
Yani mvua ikinyesha nyie mnapata excuse ya kukata.

IMG_0819.jpg
 
Back
Top Bottom