King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Hivi hii kampuni kuanza kukata makato ya shilingi 10000 badala ya 1000 ya makato ya kodi ya majengo ina maana gani , maani ni tofauti na agizo la Serikali kuwa kodi ya italipwa majengo kwa makato ya shilingi 1000 kila mwezi kwa miezi kumi, sasa huu utaratibu wa kukata 10000 , na kila mwezi 1000 bila aibu si utapeli huu ?
Na ukinunua umeme chini ya shilingi 10000 haukubali , hivi huu si ni utapeli wa mchana kweupe bila aibu kabisaaa , mafuta juu, tozo za miamala ya simu juu , mafuta ya kula juu kila kitu juu na umeme tena ?
Na ukinunua umeme chini ya shilingi 10000 haukubali , hivi huu si ni utapeli wa mchana kweupe bila aibu kabisaaa , mafuta juu, tozo za miamala ya simu juu , mafuta ya kula juu kila kitu juu na umeme tena ?