Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Heee! Kazi ipo.Sio error. Kwa mita mpya unahesabiwa deni tokea mwaka Jana mwezi wa 8. Hivyo mtu akiunganisha umeme Leo anapaswa kulipa miezi 10 iliyopita na ndio inakuja hiyo 10000
Na hata ukija kuunga umeme mwakani, basi jua utakutana na deni la mwaka Jana lililoanza mwezi wa 8
Kwa nini wasiwaanzie mtu anapounganishwa sababu kwa hali hiyo wale wa hali za chini watakaojiunganisha umeme itakuwaje?