uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Kuna hizi mita za TANESCO wanazofungia wateja sasa hivi, kila siku usiku lazima zikate umeme lakini kwa wale wenye mita za zamani umeme upo.
Tatizo nini? Au ndio mita za michongo?
Kipara kipara Kipara, nimekuita mara 3, waliopiga ma deal wote huwa na Uzee usio furaha