TANESCO mita zenu mpya zina shida gani? Zinakata umeme wakati upo

Kuna hizi mita za TANESCO wanazofungia wateja sasa hivi, kila siku usiku lazima zikate umeme lakini kwa wale wenye mita za zamani umeme upo.

Tatizo nini? Au ndio mita za michongo?

Kipara kipara Kipara, nimekuita mara 3, waliopiga ma deal wote huwa na Uzee usio furaha
 
Hiyo no 2 sidhani km ni sababu ukizingatia kuwa Kwa sasa mita zote zinawekwa juu ya nguzo ambazo zinakuwa umbali fulani na nyumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…