Nilikuwa na tatizo kama hili la kukatika umeme usiku wakati umeme upo, tatizo linaweza kuwa;
1. Low voltage, hata ukiwa na 3 phase, line moja ikiwa na low voltage au haina umeme kabisa basi inazima umeme usiingie tofauti na meter za zamani.
2. Unaweka remote mbali na meter ya LUKU, especially kama una kagorofa, kama meter ipo juu bas na remote ishinde/ilale juu (nadhani kuna mawasiliano zinafanyaga)