Ghost MVP
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 439
- 736
Kwasasa sababu zimekuwa hazieleweki, wanakata umeme bila Taarifa, kwa muda mrefu kiasi hivi, bila kuipa jamii taarifa, Biashara nyingi zinategemea umeme kwanini Mnaumiza wafanya biashara kama hivi, hawajajiandaa kabisa kukosa umeme.
Nilipiga simu nikaambiwa maji hyingi, hayaingii wapi? Mbona siwaelewi kabisa.
Husika cc: TANESCO
Nilipiga simu nikaambiwa maji hyingi, hayaingii wapi? Mbona siwaelewi kabisa.
Husika cc: TANESCO