TANESCO: Mtambo wa kuzalisha Megawati 20 za umeme umewasili Nchini ukitokea Marekani


Kuna kasyndicate kanatafuta pesa ya uchaguzi….👇🏼

 
TANESCO imetoa ripoti kuwa tayari mtambo wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 20 za umeme umewasili Nchini ukitokea Marekani siku ya Jumamosi Desemba 3, 2022.
Ripori pia iseme tumenunua au ndo tume kodi kama ile ya kina Richmond, Dowans au Aggreco!
 
Ijumaa tarehe 2 Desemba wanafanya jitihada, siku mbili baadaye mtambo umewasili kutoka Marekani! Hawa jamaa wanatuona Watanzania mazuzu tusiojielewa.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…