TANESCO Mwanza mnalala sana mtatusababishia maafa siku si nyingi

TANESCO Mwanza mnalala sana mtatusababishia maafa siku si nyingi

BUSH BIN LADEN

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2019
Posts
8,447
Reaction score
19,425
Haya mashirika ya umma sijui kwanini Watumishi wake hawako active kabisa kushughulikia kero zinazowakumba Wananchi.

Ni miaka kadhaa sasa TANESCO mkoa wa Mwanza wameshindwa kuondoa nguzo za umeme katika barabara ya Mtaa wa Michungwani Kata ya Kilimahewa Wilayani Ilemela hali iliyopelekea Wananchi kujenga barabara ambayo ndani yake kuna nguzo za umeme.

Inasemekana Wananchi na uongozi wao wa Mtaa waliamua kujenga barabara hivo hivo kukiwa na nguzo baada ya TANESCO kushindwa kuziondoa nguzo hizi kwa muda wa miaka mitano ya wananchi kufuatilia swala hilo bila majibu.

Screenshot_20240704-104457.png
Screenshot_20240704-104527.png
Screenshot_20240704-104556.png
Screenshot_20240704-104917.png

 
Poleni sana wana mwanza

Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Kweli kabisa Mkuu itabidi nifanye hivo. Ndio vile mnaita ninininini guard sijui???

Cc Smart911

Siyo fridge guard, ni AVR kama nilivyosema. Tofauti yao ni hii;

1. Fridge guard
1720378254559.png

Hii, ina range ya input voltage, say 190 hadi 240Vac. Kiwango chochote nje ya range hii, inakata umeme unaokwenda kwenye kifaa chako kinachotumia umeme huo. Kinachoingia kwenye fridge guard, ndo kinachotoka kikiwa ndani ya range hiyo.

2. AVR

1720378054817.png


AVR nayo ina input voltage range ambayo itafanya kazi, say 160 hadi 250Vac. Kiwango cha umeme kinachotoka nje ya AVR kwenda kutumika na kifaa chako, kitakuwa 220Vac kila wakati (Constant output voltage). Na hapa ndo penye tofauti na fridge guard. Kwa AVR, umeme ukiwa ndani ya 160 hadi 250, yenyewe itauongeza/upunguza na kuwa 220 kila wakati kutegemeana na umeme unaokuja ni chini au juu ya 220Vac. AVR nzuri zaidi ni ile yenye range kubwa, say 140 to 260Vac.

3. Power specifications

Ili kupata ukubwa (Power) wa AVR unayoihitaji, chukua total power ya vitu vyote unavyotaka kuvipa umeme kupitia AVR yako, then kanunue AVR ya 25% more than total power uliyoipata. This will allow room for load fluctuations
 
Haya mashirika ya umma sijui kwanini Watumishi wake hawako active kabisa kushughulikia kero zinazowakumba Wananchi.

Ni miaka kadhaa sasa TANESCO mkoa wa Mwanza wameshindwa kuondoa nguzo za umeme katika barabara ya Mtaa wa Michungwani Kata ya Kilimahewa Wilayani Ilemela hali iliyopelekea Wananchi kujenga barabara ambayo ndani yake kuna nguzo za umeme.

Inasemekana Wananchi na uongozi wao wa Mtaa waliamua kujenga barabara hivo hivo kukiwa na nguzo baada ya TANESCO kushindwa kuziondoa nguzo hizi kwa muda wa miaka mitano ya wananchi kufuatilia swala hilo bila majibu.

View attachment 3035097View attachment 3035099View attachment 3035100View attachment 3035101
View attachment 3035104
mkuu mbona tanesco wanadai hizo nguzo ziliishaondolewa tangu may mwaka huu
hebu wailopo site watusaidie labda wanaongopa
 
Siyo fridge guard, ni AVR kama nilivyosema. Tofauti yao ni hii;

1. Fridge guard
View attachment 3036116
Hii, ina range ya input voltage, say 190 hadi 240Vac. Kiwango chochote nje ya range hii, inakata umeme unaokwenda kwenye kifaa chako kinachotumia umeme huo. Kinachoingia kwenye fridge guard, ndo kinachotoka kikiwa ndani ya range hiyo.

2. AVR

View attachment 3036112

AVR nayo ina input voltage range ambayo itafanya kazi, say 160 hadi 250Vac. Kiwango cha umeme kinachotoka nje ya AVR kwenda kutumika na kifaa chako, kitakuwa 220Vac kila wakati (Constant output voltage). Na hapa ndo penye tofauti na fridge guard. Kwa AVR, umeme ukiwa ndani ya 160 hadi 250, yenyewe itauongeza/upunguza na kuwa 220 kila wakati kutegemeana na umeme unaokuja ni chini au juu ya 220Vac. AVR nzuri zaidi ni ile yenye range kubwa, say 140 to 260Vac.

3. Power specifications

Ili kupata ukubwa (Power) wa AVR unayoihitaji, chukua total power ya vitu vyote unavyotaka kuvipa umeme kupitia AVR yako, then kanunue AVR ya 25% more than total power uliyoipata. This will allow room for load fluctuations
Asante sana kwa mwongozo ngoja nifanye hivo

Cc Smart911
 
Back
Top Bottom