Kuna nini boss nikatoe kale ka alfu 50 kangu niweke kwenye kibubu.
Huoni kila leo wananchi wanatengenezewaKabla hatujaoea hili linakuja jingine au wanatumia mfumo wa kusahaurisha. Ok ngoja tusubiri tena pigo jingine la kulipia nyimbo hata unapo kua unasikiliza dukani
Kabisa,Acha mpk dam zitutokeNgoja tuendelee kuteseka tu mwisho wao upo.
Natabiri kutatokea makato kwenye nauli za mabasi, lodge, bar, hotelini, badae kuna tozo ya vyoo vyote nyumba kwa nyumbaBado kuna mengine mengi yanakuja
Hivi kwanini siku hizi condom wanabania hivi, zile za bureTuanze kulipia kama daraja la kigambon?