Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
TANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.
Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.
Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.
Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH
1017 5530 7665 6083 3430
Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya