TANESCO naomba maelezo ya kina, nimechanganyikiwa (Kuhusu Kununua Luku Na Units Unazopata)

TANESCO naomba maelezo ya kina, nimechanganyikiwa (Kuhusu Kununua Luku Na Units Unazopata)

Mathanzua

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2017
Posts
17,251
Reaction score
22,929
TANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. Siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Tsh. 10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on, ila siku zilivyokuwa zinaendelea nimekuwa napata less and less units, na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Tsh. 10,000 nimepata only 11 units.

Nawaombeni mnipe breakdown, maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.

Lipo suala la kulipia majengo, lakini hata hili sidhani kama ni fare. Kiwanja changu, hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa, very unfair indeed.

Anyway tuyaache hayo. Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.

Malipo yamekamilika. 43131657850
9001241842017439196
11.2KWH

1017 5530 7665 6083 3430

Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00

Soma===>>> KERO - Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya
 
TANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Sh.10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on,ila siku zilivyokuwa zinaendelea,nimekuwa napata less and less units,na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Sh.10,000 nimepata only 11 units.Nawaombeni mnipe breakdown,maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.

Lipo swala la kulipia majengo,lakini hata hili sidhani kama ni fare.Kiwanja changu,hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa,very unfair indeed.

Anyway tuyaache hayo.Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.


Malipo yamekamilika.43131657850
9001241842017439196
11.2KWH

1017 5530 7665 6083 3430

Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Umpata umeme wa buku 3 duh
 
TANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Sh.10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on,ila siku zilivyokuwa zinaendelea,nimekuwa napata less and less units,na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Sh.10,000 nimepata only 11 units.Nawaombeni mnipe breakdown,maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.

Lipo swala la kulipia majengo,lakini hata hili sidhani kama ni fare.Kiwanja changu,hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa,very unfair indeed.

Anyway tuyaache hayo.Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.


Malipo yamekamilika.43131657850
9001241842017439196
11.2KWH

1017 5530 7665 6083 3430

Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
Mara yako ya mwisho kununua umeme ni mwezi gani?
 
TANESCO naomba maelezo ya kina nimechanganyikiwa. siku za nyuma nilikuwa nikinunua umeme wa Sh.10,000 nilikuwa napata units 28.I don't know what is going on,ila siku zilivyokuwa zinaendelea,nimekuwa napata less and less units,na leo nimenunua umeme wa hiyo hiyo Sh.10,000 nimepata only 11 units.Nawaombeni mnipe breakdown,maana kama mambo ni hivi, tutashindwa kutumia umeme.

Lipo swala la kulipia majengo,lakini hata hili sidhani kama ni fare.Kiwanja changu,hela nilizotumia kujenga ni zangu and then out of knowhere mtu anakuja anachukua asichokivujia jashokabisa,very unfair indeed.

Anyway tuyaache hayo.Receipt niliyopewa ni kama ifuatavyo.


Malipo yamekamilika.43131657850
9001241842017439196
11.2KWH

1017 5530 7665 6083 3430

Cost 3,278.69
VAT 18% 590.16
EWURA 1% 32.79
REA 3% 98.36
Debt Collected 6000.00
TANESCO
 
Mama anaupiga mwingii sanaaa mpk unamwagikaaaaaa..

Mitano Tena 😂

Yaan mpk tuseme
Kila mtu kakatwa mkuu
Screenshot_20240702_160351.jpg
 
Mkuu pole sana..
Lakini inaonekana kwa miezi kadhaa ulikuwa haukatwi kodi ya jengo, either walikusahau au ulikuwa ununui umeme. Na ndio sababu ya kukatwa hiyo elfu 6.
 
Kila mwezi wanakata 1500
Ambayo kwa sahv July wanakata 2000

Ova
 
Mkuu pole sana..
Lakini inaonekana kwa miezi kadhaa ulikuwa haukatwi kodi ya jengo, either walikusahau au ulikuwa ununui umeme. Na ndio sababu ya kukatwa hiyo elfu 6.
Mkuu nimesema units zimekuwa zinapungua over time.Ila nataka concrete answers from TANESCO,kwa kuwa sina kumbukumbu vizuri.No, mwezi huu makato ni disaster,17 units less have made history.
 
Mkuu nimesema units zimekuwa zinapungua over time.Ila nataka concrete answers from TANESCO,kwa kuwa sina kumbukumbu vizuri.No, mwezi huu makato ni disaster,17 units less have made history.

Mkuu kama unataka "concrete answers from Tanesco" nadhani ukipiga simu Tanesco huduma kwa wateja watakuelewesha vizuri zaidi.

Mimi niliwapigia na wakanielewesha makato yalivyokatwa pindi nilivyonunua umeme.
 
Back
Top Bottom